Unique Sisters wako wapi siku hizi?

Na ukipata demu ikibidi tembea na kikopo cha mafuta huwa k haikomolewi wala haitoki vumbi
 
Kitambo mno aisee,saratani ya ini,nilishtuka Sana nilipoambiwa huo ugonjwa kwamba yanki Kama Mimi anaweza ondoka kwa saratani,nadhani ilikua around 2010
Ilikua 2015 mkuu
 
kwa jini Kabula Mr nice atakuwa amepona kweli?
 
Walishirikiana na Mac D na sio Mez B, waliimba pamoja wimbo wa baishoo na nakupenda pia.
 
Ni watu waazima sana kwenye 40+,wameolewa na mziki kwaheri,walikuwa watoto wa Ahmed Kipozi,wamekulia Japan,
Sio hao tu,Kuna wale wa gospel,Jsisters na wao watakuwa wameishaolewa na mziki ndio basi tena
 
We toka hapa Mez B hana miaka 3 ametutoka.
Mchizi kafariki 20/02/2015. Unaweza ukaona hapo ni kitambo hata Marehemu JPM hajakamata nchi bado na yeye tayari ni miaka miwili tangu aondoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…