Unique Sisters wako wapi siku hizi?

Unique Sisters wako wapi siku hizi?

Njugu bongo zilianza 2006 kuja juu. Kilikua ni kipindi kigumu sana kuwapa wananchi elimu juu ya faida ya matumizi ya njugu. Kwa madiba walianza mapema 2004 ila kule watu miili ilikua inavimbavimba hadi wakuda wakaibua uzushi ooooh njugu zinaotesha maziwa mwanaume. Kiufupi tupige nyeto pale unapoona umezidiwa ili kuepuka ngono zembe.
Na ukipata demu ikibidi tembea na kikopo cha mafuta huwa k haikomolewi wala haitoki vumbi
 
Kitambo mno aisee,saratani ya ini,nilishtuka Sana nilipoambiwa huo ugonjwa kwamba yanki Kama Mimi anaweza ondoka kwa saratani,nadhani ilikua around 2010
Ilikua 2015 mkuu
 
John Mjema alipogundua anao akajiua kwa kujichoma kisu moyoni laiti angepata ushauri mzuri akatafuna njugu tungekuwa naye sasa hivi. Jini Kabula yule tall naye alitakaga kujiua ila kanselling ikamsaidia akaanza dozi sasa hivi huwezi kumtambua pisii kali ataondoka na wengi.

King Kong III
kwa jini Kabula Mr nice atakuwa amepona kweli?
 
Wale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?

Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.

Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Walishirikiana na Mac D na sio Mez B, waliimba pamoja wimbo wa baishoo na nakupenda pia.
 
Wale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?

Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.

Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Ni watu waazima sana kwenye 40+,wameolewa na mziki kwaheri,walikuwa watoto wa Ahmed Kipozi,wamekulia Japan,
Sio hao tu,Kuna wale wa gospel,Jsisters na wao watakuwa wameishaolewa na mziki ndio basi tena
 
We toka hapa Mez B hana miaka 3 ametutoka.
Mchizi kafariki 20/02/2015. Unaweza ukaona hapo ni kitambo hata Marehemu JPM hajakamata nchi bado na yeye tayari ni miaka miwili tangu aondoke.
 
Back
Top Bottom