Tatizo vijana wanadhan Masters/PhD utasoma Kama undergraduate. Wengi uwezo Mdogo Kama kuandika tu thread tu hapa ishu itakua dissertation/thesis? Eti akaenda academic block kuulizia?Nilishajiapiza siwezi kusoma masters wala phd hapa tz.
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.
Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.
Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.
Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.
Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe
Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.
Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious
Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia
Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt
Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?
Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.
Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.
Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Mwanafunzi wa level ya Masters anaweza kujisimamia mwenyewe. Mzazi pamoja na mapenzi yote kwa mtoto wako, ifike mahali umuache apambane mwenyewe. Unaweza ukafuatilia ukiwa nyumbani lakini kwenda front kama hivyo kunaleta mashaka juu ya uwezo wa mtoto wako kujisimamia na hata kazini kwa mwenendo huu hataaminika.Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.
Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.
Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.
Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.
Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe
Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.
Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious
Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia
Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt
Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?
Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.
Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.
Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
BA Archaeology kwa nn usipate GPA ya 5?Binafsi pia ni mhitimu wa UDSM. Ila niliapa! Sitakuja nirudi tena kwenye kile chuo kusoma kozi ya aina yoyote ile, kutokana na mazingira magumu niliyopitia kwa miaka yangu yote mitatu pale chuoni.
Baadhi ya wakufunzi walikuwa ni wakuda sana kiasi cha kukaribia kuwa wachawi! Halafu wadau wengine unakuta wanapiga tu ma GPA ya 4......!
Vipanga wengi miaka ya nyuma walisoma udsm! Maana wahitimu walikuwa ni wachache na hakukuwepo na vyuo vya kata kama ilivyo sasa. Hivyo usimchukulie poa Spika wako! Alikuwa naye ni mmoja wa vipanga wa nchi hii!Ndugai alisomaga UDSM?
Umeongea pumbaMtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.
Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.
Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.
Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.
Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe
Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.
Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious
Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia
Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt
Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?
Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.
Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.
Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Mkuu unam dhalilisha mwanao,Level Ya Masters hawez tatua matatzo yake ya academic, had wee uingilie sa atakua lin??
Wengine masters wanaenda wakiwa umri mdogo wanahitaji kuongozwa
Sarama RekuHata kijana wa Diploma hatakiwi kuanza kuangaisha wazazi wake chuo…….tuna haribu watoto.
Ha ha haMtu anaesomea mastaz nae anakaguliwa na mzazi [emoji23][emoji23][emoji23]