University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

Nilishajiapiza siwezi kusoma masters wala phd hapa tz.
Tatizo vijana wanadhan Masters/PhD utasoma Kama undergraduate. Wengi uwezo Mdogo Kama kuandika tu thread tu hapa ishu itakua dissertation/thesis? Eti akaenda academic block kuulizia?
 
Mtu anakuzungusha masters ya miaka 2 unaisoma miaka 6 kwa nini usimshshe futi sita tu..hao maprofesa wengi wametoka kwenye familia masikini sana...kwa hiyo hawataki watu wenye shahada 2 au tatu wawe wengi wakihisi thamani yao itapungua mtaani.
 
Mbona wenzao kule UDBS kwamaana ya Shule ya Biashara hawana kona kona wakati ni chuo hicho hicho kimoja?
Ila Lecturers wa UDSM Mungu anawaona
 
Tatizo hamjamuelewa lala miko lake...
Base kwenye content... You know character is fun huh?
Waliosoma fasihi na literature tutaelewana hapa.

Anyway ujumbe umefika ni wakati watanzania tunatakiwa tubadirike inakera kwKwerli.
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu

Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Mwanafunzi wa level ya Masters anaweza kujisimamia mwenyewe. Mzazi pamoja na mapenzi yote kwa mtoto wako, ifike mahali umuache apambane mwenyewe. Unaweza ukafuatilia ukiwa nyumbani lakini kwenda front kama hivyo kunaleta mashaka juu ya uwezo wa mtoto wako kujisimamia na hata kazini kwa mwenendo huu hataaminika.

Otherwise poleni kwa changamoto.
 
Binafsi pia ni mhitimu wa UDSM. Ila niliapa! Sitakuja nirudi tena kwenye kile chuo kusoma kozi ya aina yoyote ile, kutokana na mazingira magumu niliyopitia kwa miaka yangu yote mitatu pale chuoni.

Baadhi ya wakufunzi walikuwa ni wakuda sana kiasi cha kukaribia kuwa wachawi! Halafu wadau wengine unakuta wanapiga tu ma GPA ya 4......!
 
Yaani Masters unaenda Chuo na mama yako kuongea na Waalimu? Kama mimi ni Lecturer hakika sikusikilizi……I’m sorry to say this lakini huyo kijana wako huenda ni tatizo na kama ndio hivyo tunazalisha wasomi wa ajabu sana, huyo akipata hata shida kazini atamuita mama yake, mwambie mimi nimelipa ada nataka nione cheti, hizo stories za masupervisors pambana nazo mwenyewe akishindwa basi hata hiyo Masters haimfai.
 
Binafsi pia ni mhitimu wa UDSM. Ila niliapa! Sitakuja nirudi tena kwenye kile chuo kusoma kozi ya aina yoyote ile, kutokana na mazingira magumu niliyopitia kwa miaka yangu yote mitatu pale chuoni.

Baadhi ya wakufunzi walikuwa ni wakuda sana kiasi cha kukaribia kuwa wachawi! Halafu wadau wengine unakuta wanapiga tu ma GPA ya 4......!
BA Archaeology kwa nn usipate GPA ya 5?
 
Ndugai alisomaga UDSM?
Vipanga wengi miaka ya nyuma walisoma udsm! Maana wahitimu walikuwa ni wachache na hakukuwepo na vyuo vya kata kama ilivyo sasa. Hivyo usimchukulie poa Spika wako! Alikuwa naye ni mmoja wa vipanga wa nchi hii!

Ni bahati mbaya tu ukiingia ccm, akili zote zinahama kutoka kichwani na kukimbilia tumboni.
 
Ukitaka kusoma kwa kurelax Masters nenda Udbs Kyle kama unaqualify na courses za kule..........ila huku kwingine kama department ya Political science na Sociology labda uwe unaongea Kihaya utafanikiwa fasts........
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Umeongea pumba
 
Ipo tofauti kubwa ya uelewa kuhusu makuzi na maana ya familia; kama mwanao atakosa future Kwa sababu ya urasimu ukadhani kumwacha aangamie nikumkomaza fine. Lakini pia inategemea unasoma masters ukiwa na umri gani?Kusoma ni jambo Moja nakukwamishwa na wenye taasisi ni jambo jingine.

Umewahi kujiuliza kwanini familia za wanasiasa Tanzania zinazidi kukabidhiana Madaraka? Unadhani Ridhiwan ana qualities kuliko wengine nchini kuwa Naibu Waziri? Ni Kwa sababu mzazi wake yupo nyuma yake; family it's like project, ukiruhusu Mradi wako uharibiwe na watu flan unaharibu the all project.

Karne hii Sijui MTU anaitwa examination au external anakaa na kazi ya mwanafunzi miezi mitatu hadi sita no comment tuseme mtoto afuatilie Mwenyewe? Nchi imejaa watu wenye Phd kibao wakusahihisha izo kazi kwanini umpe MTU asiyekuwa na muda wakusahihisha? Then akipewa inakuwa Siri mwanafunzi apaswi kujua Wala kuhoji , haya mambo hakuna Tena kwenye mifumo hata ya kindergarten, masters page 80 unatumia 90dys kuzisoma? You have softwares zakukusaidia kufanya analysis na kuangalia plagiarism unaagua Nini Siku tosini?

Ni fedhea kuona tunatetea watu wasiotaka kutimiza Wajibu wao. Udsm ilipaswa kufanya kazi Kwa standard ya ulimwengu wa kwanza ambapo 18 months sharp mwanafunzi amemaliza chuo.

Mtoto anasoma mwaka na nusu then anakuambia nimemaliza course work ndo tunaanza kuandika proposal............let us accept reforms maisha yamerahisishwa.

Leo Duniani Kuna watu wamespecilize kuandika research, you just collect data and submit to them. Wewe kazi Yako nikuangalia utafiti wako umeandikwa kama ulivyoona field? Mabadiliko kwenye elimu muhimu
 
Back
Top Bottom