Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Mwamba huyu hapa
 
Sema haki ya nani
 
Arsenal ni team ya LAANA tunaipenda na kuifuatilia reason kubwa tumetoka nayo since 90s but kiukweli imepata LAANA huu utabiri wako kwangu mimi ni jambo ambalo ni la kawaida tu hakuna kipya juu ya Arsenal
 
Acha kuongea issue za Ukweli Jf utapimwa mkojo
 
Arsenal leo kibaruani dhidi ya Chelsea...mechi za dizaini hii usishangae droo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…