Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Najua wazee wa prokotoo, ibanie ndani, imeloa nyau, sijui chumvi sugar chumvi etc mtaanza kunikaba koo
Kula kwanza hicho chuma
View: https://youtu.be/F1kCWrem5RU?si=Uw7K0stk3hPP3D8z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuuYupo talented kiukweli.. Package yake ni kubwa sana kwa upande wa Quality ila katika upande wa biashara. Bado hajapata mega hits za kumfanya kuwa Top kwa Afrika mashariki
Ila kwa Tuzo anaweza kuchukua kwa sababu ubora huwa unaangaliwa sana pia
View attachment 3250605
Najua wazee wa prokotoo, ibanie nandi, imeloa nyau, sijui chumvi sugar chumvi etc mtaanza kunikaba koo
Kula kwanza hicho chuma
View: https://youtu.be/F1kCWrem5RU?si=Uw7K0stk3hPP3D8z
Niko na bien anasema hata yeye hakujui weweHatumjui. Sisi tunawajua Domo, Hamo, Zuchu Kiba the King himself hao ndio miamba
Kwa ubora alionao?Ila kwa Tuzo anaweza kuchukua kwa sababu ubora huwa unaangaliwa sana pia
For sureHuyu ni Jux aliyepooza
Well saidOgopa mtu anaimba huku anachezea Gita, uyu jamaa ni moto. Lakini kwa sababu ni Mkeiiiiiii, awezi gusa kwa Domo hata kidogo.
DuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhMsanii Kenya alikuwa Jaguar 🐆 tu