Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Ndio unafanana na wimbo wa huyo pimbiUnataka kusemaje?
By the way wimbo ni mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unafanana na wimbo wa huyo pimbiUnataka kusemaje?
By the way wimbo ni mbaya
Ila wa Jux kidooooooooooogo umechangamka yaani nzuri kwa mbaaaaaaaali.Ndio unafanana na wimbo wa huyo pimbi
Mimi sina umaarufu wwte. Hata mjumbe wa nyumba kumi mtaa wangu hanijui. Si unajua sisi wazee wa undercoverNiko na bien anasema hata yeye hakujui wewe
Hapo sawaIla wa Jux kidooooooooooogo umechangamka yaani nzuri kwa mbaaaaaaaali.
Ila wa yule Fala wa Kenya pumba kabisa
Au sioMimi sina umaarufu wwte. Hata mjumbe wa nyumba kumi mtaa wangu hanijui. Si unajua sisi wazee wa undercover
KabisaHapo sawa
Aah wapi.....!Huyu kijana ana kipaji cha hali ya juu.
Au nimezungua?Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh
I think he needs extra pressureNaunga mkono hoja, Mwamba anajua halafu anajua tena 😊
Hujui muzikiAah wapi.....!
We ndo hujui hata maana ya muzikiHujui muziki
Aisee kijana una dharau taaluma za watu, kua na adabu.We ndo hujui hata maana ya muziki
Sasa huyu si anakalishwa hata na Harmorapa
Kwa niniAisee kijana una dharau taaluma za watu, kua na adabu.
ExactlyI
I think he needs extra pressure
Kwa ubora alionao?
Tangu lini wasanii wa Kenya wakawa bora kuwazidi wa Bongo
Shiski ni timeless jamaa maana ana mashairi makali na sauti unique sana lakini pia anaweza switch genres tofauti za muziki na akatoa hitsBien ni mzuri, ila nyanshiski ni extra Miles.
Kwa nyimbo za kizee za sauti sol zile?Kuna group gani bongo lilikuwa na ukubwa wa Sauti Sol ?...
Hata master jay aliposema wakenya wana talents Ila branding tumewazidi. Inabidi uelewe tu, kwenye sauti. Ukiangalie wasafi tu, labda mbosso anaweza jitahidi simama nae kwenye live performance. Wengine hakuna
Bien akiwa serious zaidi na akashirikiana na wasanii wa bongo kwenye mashairi na production ili kuteka soko la bongo. Anaweza fanya maajabu
Mkuu nikuambie tu kwa ujumla Afrika Mashariki na kati hii ukizitoa Tz na DRC kwingine kunakobakia hakuna mziki wowote ni vichekesho tu!!!Shiski ni timeless jamaa maana ana mashairi makali na sauti unique sana lakini pia anaweza switch genres tofauti za muziki na akatoa hits