Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

Kina Diamond, Harmonize, Zuchu, Mboso... wako mbali sana kwa sasa. Wanajulikana Africa nzima. Kuna nchi nilienda hawaongei kiswahili nikakuta Dada anasikiliza nyimbo za Mbosso akaniomba nimwambie maana ya hizo nyimbo.
 
Kina Diamond, Harmonize, Zuchu, Mboso... wako mbali sana kwa sasa. Wanajulikana Africa nzima. Kuna nchi nilienda hawaongei kiswahili nikakuta Dada anasikiliza nyimbo za Mbosso akaniomba nimwambie maana ya hizo nyimbo.
68d564748d034b845fed0b11f43fdbb1.jpg
 
Kuna mtu alinidanganya(ga) eti huyo kaka ni mnyakyusa aliondoka(ga) mbeya kitambo sana ndo maana anaonekana kama mkenya 😂😂😂😂jamani
 
Kuna group gani bongo lilikuwa na ukubwa wa Sauti Sol ?...

Hata master jay aliposema wakenya wana talents Ila branding tumewazidi. Inabidi uelewe tu, kwenye sauti. Ukiangalie wasafi tu, labda mbosso anaweza jitahidi simama nae kwenye live performance. Wengine hakuna

Bien akiwa serious zaidi na akashirikiana na wasanii wa bongo kwenye mashairi na production ili kuteka soko la bongo. Anaweza fanya maajabu
Yaah wale jamaa branding ni zero sijui wanaridhika Mapema au niaje.
Saut sol walifika mbali sana wale jamaa sijui ni kipi kilifanya waachane na walipoachana jamaa nsio yuko juu ya wenzie wote, yeye ndo anapata deals na collabo kibao.
 
Yaah wale jamaa branding ni zero sijui wanaridhika Mapema au niaje.
Saut sol walifika mbali sana wale jamaa sijui ni kipi kilifanya waachane na walipoachana jamaa nsio yuko juu ya wenzie wote, yeye ndo anapata deals na collabo kibao.

Nadhani tu wanaimba kwa uzungu mwingi na genre zao za ndani hazifanyi vizuri kama bongo flava.

Lakini kikubwa wakenya hawana muda sana na habari za mastar kama sisi hivyo inawanyima ile star power wanayotakiwa kuwa nayo
 
Nikionaga mtu anautaja huu wimbo "swing swing mziki ni bomba" baaasi najua huyu ni old-school wa uhakika kabisa na mnaweza mkajadiana naye mziki kwa mapana na marefu 😀😀😀
Hahaaa enzi za longombaz
 
Back
Top Bottom