Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

Yupo talented kiukweli.. Package yake ni kubwa sana kwa upande wa Quality ila katika upande wa biashara. Bado hajapata mega hits za kumfanya kuwa Top kwa Afrika mashariki

Ila kwa Tuzo anaweza kuchukua kwa sababu ubora huwa unaangaliwa sana pia
 
Yupo talented kiukweli.. Package yake ni kubwa sana kwa upande wa Quality ila katika upande wa biashara. Bado hajapata mega hits za kumfanya kuwa Top kwa Afrika mashariki

Ila kwa Tuzo anaweza kuchukua kwa sababu ubora huwa unaangaliwa sana pia
Hakika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…