Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

Kina Diamond, Harmonize, Zuchu, Mboso... wako mbali sana kwa sasa. Wanajulikana Africa nzima. Kuna nchi nilienda hawaongei kiswahili nikakuta Dada anasikiliza nyimbo za Mbosso akaniomba nimwambie maana ya hizo nyimbo.
 
Kuna mtu alinidanganya(ga) eti huyo kaka ni mnyakyusa aliondoka(ga) mbeya kitambo sana ndo maana anaonekana kama mkenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚jamani
 
Yaah wale jamaa branding ni zero sijui wanaridhika Mapema au niaje.
Saut sol walifika mbali sana wale jamaa sijui ni kipi kilifanya waachane na walipoachana jamaa nsio yuko juu ya wenzie wote, yeye ndo anapata deals na collabo kibao.
 
Yaah wale jamaa branding ni zero sijui wanaridhika Mapema au niaje.
Saut sol walifika mbali sana wale jamaa sijui ni kipi kilifanya waachane na walipoachana jamaa nsio yuko juu ya wenzie wote, yeye ndo anapata deals na collabo kibao.

Nadhani tu wanaimba kwa uzungu mwingi na genre zao za ndani hazifanyi vizuri kama bongo flava.

Lakini kikubwa wakenya hawana muda sana na habari za mastar kama sisi hivyo inawanyima ile star power wanayotakiwa kuwa nayo
 
Nikionaga mtu anautaja huu wimbo "swing swing mziki ni bomba" baaasi najua huyu ni old-school wa uhakika kabisa na mnaweza mkajadiana naye mziki kwa mapana na marefu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahaaa enzi za longombaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…