Until we meet again in paradise, bye!

Until we meet again in paradise, bye!

Status
Not open for further replies.
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
 
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Kaka jambazi uko na ujasiri:BearLaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh:
 
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    16.9 KB · Views: 1
vijana wapumbavu sana.. nimesoma hiyo hadith ya vintage ya kina yasinta na upendo..... imekajaa kusadikika kwingi sana.. mtu utembee from rangi tatu to kibada kwa miguu??!!..
Alafu mimi nishaanza kusanuka,kuna uzi alidai ana watoto watatu,aliufuta ila kuna jamaa alishamauote alafu uzi mwingine akadai ana watoto wawili taa nyekundu ikaanza kuwaka kichwani nikaleft kwa mda
 
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Kaka muungwana akikosea huchutama .
Embu zima data ,washa jioni badili I'd alafu anza maisha mapya JF ,hapa bado unakutana na spana za wanamgambo tu ,nakuonea huruma wakija wanajeshi wenyewe maana muda huu wamepumzika naona watakufanya ukajiue kweli .
 
Mr clearmind please stop this, unajua tuliongea nini na ukaniambia nini, na unajua nafahamu ukweli kwani ile mbinu yako ilikuwa rahisi sana kuigundua.

Kubali yaishe, kuwa na ID zaidi ya moja sio dhambi, bali dhambi ni kutaka kurubuni watu au kuleta utapeli.
 
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
It's too little too late mkuu. Kwa comment hii hakuna wa kukuamini.
 
Baada
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Kwenye uzi wa Maisha ya ndoa na familia

clearmind ulitajwa kama mmoja wapo wa wana JF waliomsaidia, na pia wewe ndiye mtu wa kwanza kutoa maoni baada ya kumaliza kusimulia.

Ukija huu uzi wa until we meet again ulipandishwa saa 7:06 pm, na wewe ukawa mchangiaji wa kwanza saa 7:11 pm, unataka kusema hii ni bahati?
 
Mr clearmind please stop this, unajua tuliongea nini na ukaniambia nini, na unajua nafahamu ukweli kwani ile mbinu yako ilikuwa rahisi sana kuigundua.

Kubali yaishe, kuwa na ID zaidi ya moja sio dhambi, bali dhambi ni kutaka kurubuni watu au kuleta utapeli.
Kwakuwa anakuwa mbishi mbishi kitakachofuata ni kuwaoomba moderators watupe location yake ili akapigwe viboko kwanza
 
Hii thread/message inanipa wazimu a friend of mine tulikuwa pamoja three days ago .. Jana kanambia ni Bora afe kuliko aendelee kuisho huki akilia Kwa uchungu..

Leo tokea asubuhi mpaka hivi sasa hajaonekana , .. Nina mixed feelings hofu pamoja na majonzi again nakutana na Uzi kama huu... Damn
Umempata?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom