Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa mshirikina, lakini hamshindi Lissu na zitto. Uliza Singida & kigoma
 
hata akiwa mchawi namna gani lazima nafisi yake itaonja mauti, shehe yahaya yuko wapi? wale mnaotoka mwanza Magu (mwanaburungute, mungu wapili, samike) wako wapi? hata yeye kama aliua hakia atakufa tu
 
Huyu jamaa mshirikina, lakini hamshindi Lissu na zitto. Uliza Singida & kigoma

Ndungai Macho yamemtoka kumbe ndio zake za kuroga watoto wa watu kwa sababu tu wamefanya mambo yanayopaswa kufanywa kisheria,yaani naibu spika safari zote fedha zote bado anadhulumu roho ya mtu
 
Huyu jamaa mshirikina, lakini hamshindi Lissu na zitto. Uliza Singida & kigoma

Ndungai Macho yamemtoka kumbe ndio zake za kuroga watoto wa watu kwa sababu tu wamefanya mambo yanayopaswa kufanywa kisheria,yaani naibu spika safari zote fedha zote bado anadhulumu roho ya mtu
 
aliua babaye hahaha mweu. Ndugai kwisha ulifanyia gizani sasa twakwanika kwenye taa kubwa jf. Kwisha habari yako NDUG-HAI
Kwasasa ntakuwa nakuita Ndug-died
 

please kwa nini usiende polisi ukatoe ushahidi huo
 
Watawaua lakini hawatawamaliza.
 
.....¡¡¡¿¿¿ very sad story....!¡!¡¿¿??
 
Kweli kama hawa ndo wawakilishi wetu unategemea walete maendeleo kwa wananchi kweli? Mi nasema hapa maendeleo yatakuwa kwa sampling tu!
 
Ndugu yangu shumbi nawewe umuombe sana mola wako make huenda kuleta uzi kama huu jamvini laweza kuwa chukizo pia.
Kisheria hamna namna ya kumshitaki Ndunga kuhusiana na kifo cha aliyekuwa raia mwema (mfanyakazi wa TRA) kwa ushahidi uliopo?
 

Ng'wale
Na wewe ni kamchezo kako nini au familia yako wanako hako kamchezo mbona unatoka povu kwa mtu kuambiwa muuaji,ndege wa rangi moja huruka pamoja na wewe pia ni family ya hako kamchezo ka kuua na kiruka na ungo
Unashangaa msomi kuwa mchawi mbona wewe ni mmoja wao na wapo wengi walikabidhiwa mikoba pamoja na kwamba wameenda shule sasa povu la nini jombaa?

Au Ndugai ni mjombako hivyo unamtetea huenda akakupa ufagizi bungeni? Polocy yenu anayetoa matusi anapata kazi endelea bro
 
This is untold story indeed! May His Soul Rest In Peace..
 
:yo😀uu! kumbe kuna mambo makubwa hivi yanofanywa na vigogo wetu! huyo ni mmoja na walau tunaweza hata kuchora mchoro! je wengine wanafanya nn, wapi na kwa nani! mh mola turehemu! hata huku kutupiatupia vipost humu janvini sasa itakua shida kwan mimacho ya wakubwa ss imeongezeka ukubwa ili iwanase wanaowakosoa na hatimae kuwafanyia ki2 Mbaya!. mhh hii n zaidi ya danger!
 
Hebu kaka naomba unisaidie kitu kidogo tu , fuatilia kama Ndugai anaendelea na hizo biashara zake na kama analipa kodi , tuletee hapa Jf , tutashughulika Naye , haya mambo yake ya ushirikina yanaishia hukohuko kwao , fanya hivyo kaka.

Mfumo wa utendaji wa serikali umekwisha kuharibu kichwa, jamaa amekudokeza Job anavyokataa kulipa kodi kwa nguvu, wewe kama ni mkusanya kodi, anzia hapo sasa kufuatilia kuzitambua biashara hizo na uone kama analipa au la! Usiendekeze uchovu wako wa kuletewa kila kitu na watu wasiokuuwa na mamlaka ya kuingia kila suala hilo! Badirika usisubiri uletewe FBI waje watuchoree mchoro wa katuni ya Ndugai ndipo uanze kumtafuta!
 
Ndugai nakuapia siku si nyingi utalia na kusaga meno, keep it on your mind, you will rember me.
 
mleta mada kwako iyo ndugai ndo alikua anaendesha halo lorry ?au
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…