Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Status
Not open for further replies.

Sina namna ambayo naweza kukubadilisha mtazamo wako, najua tunatofautiana kimtazamo. Hakuna mtu ambaye anaweza kuunga mkono muuaji, lakini kitu kinachogomba hapo ni imani iliyopo kwa baadhi ya watu kwamba hapo kuna connection ya uchawi. Ningeendelea kufikirisha kichwa changu kama tungeambiwa dereva wa Lorry hilo alipewa maagizo ya kusababisha ajali hiyo, lakini siwezi kuungana na wale wanaoliweka ktk imani ya kichawi.

Kwamba mtu anayepingana na imani yako ya kuamini katika uchawi basi naye ni mchawi, huo ni mtizamo wako ambao pia siwezi kuubadili. Ni sawa na ilivyo imani katika Mungu, wapo wanaoamini kuwa Mungu yupo na wapo wasioamini kuwa yupo. Ni vema ukaachwa uendelee katika imani yako na wale wasioamini hayo wakaendelea pia.
 
please kwa nini usiende polisi ukatoe ushahidi huo

Serikali haiamini uchawi,
Ingawa % 99 ya viongozi wa serikali wana-practise hy field kama sehemu ya majukumu yao kikazi!
 
The level of superstition in this thread is just intriguing. I thought JF goes for the FACTS and not on Sorcerery!
 
Pole kwa wafiwa. Lakini sioni lolote la kumuunganisha Ndugai na ajali hii. Umesema gari ya marehemu iligongwa na lori akafa peke yake katika wale wanne waliokuwamo ndani ya gari yake. Huyo driver wa lori alikuwa na uwezo gani wa kuhakikisha ni huyo tu anakufa? Hiyo ni ajali, pana uzembe na makosa yalifanyika, yafuatiliwe hayo haki itendeke. Job Ndugai ana makosa mengine ya kumtosha, ila kwa hili naona anasingiziwa. Tuwe wakweli.
 
Kwa taarifa yako uchawi upo kwa upande wake na shule ipo kwa upande wake.Kwasababu hata maandiko Matakatifu anaeleza juu ya uchawi.Mfano Haruni alipopata maelekezo ya Mungu kudondosha fimbo ya Musa mbele ya Farao iligeuka nyoka na WACHAWI wa Farao wakatoa nyoka wengi wote walililwa na nyoka mmoja wa Haruni.Hivyo pamoja na Shule lakini tujue uchawi upo ni suala la mtu amesimama upande gani.
 
Maswali ya kujiuliza. Je ni kwanini afe peke yake? Kwanini ajali itokee baada ya kumbana mheshimiwa alipe kodi?
TOPIC of investigation ni hapo kwenye RED na sio kwenye BLUE! Huyo jamaa wa reli hawezi kuwa mkali wa kulenga shabaha kiasi hicho hadi imuondoe mtu mmoja tu(unayehisi alikusudiwa) na kuwaacha wengine!!
 
Akienda mahakamani kutoa huo ushahdi ataambiwa serikali haiamini uchawi.
 

Mkuu jibu hoja kwa hoja, job bado anaendelea na shell zake na wilaya nzima hakuna anaye msumbua the same as mke wake ni DMO ni mkorofi sanaaa wakati ni AMO.

Tanzaia ni ajabu la 8 duniani
DMO ana AMO.
 
Polisi hawa wetu wanaofanya miujiza ya kubadiri cocaine ikawa chumvi iliyochanganyika na sukari na mkemia mkuu wa serikali akakosa kithibitisho? Teh! Tehhh!
Mkuu avatar yako itakuwa ni Korea Kaskazini, hapo Kim JongUn analenga shabaha na Pistol Chines 7.62 !!!
Ndugai anatishia watu na kukwepa kodi anapoteza sifa za kuwa mbunge, Marekani kukwepa kodi ni kosa la jinai, ukishitakiwa ni jela moja kwa moja bila ya kujali kama wewe ni mbunge au waziri!!!

 
Huyu jamaa mshirikina, lakini hamshindi Lissu na zitto. Uliza Singida & kigoma

Ndugu yangu nakusikitikia sana historia ya mkoa wa SINGIDA hakuna wachawi hata kidogo zaidi MBOJO ambayo pia ni DANGANYA TOTO TU na mimi ndio mkazi KIJIJI CHA MTUNDURU, SINGIDA
 
Magamba yameua wengi mno ndani ya nchi hii. muda wa kuongozwa na serial killers, wezi, matapeli, majangaili , drug dealers, maasherati, malaya, ......umekwisha. CHUKUA HATUA
 
Ndugu yangu nakusikitikia sana historia ya mkoa wa SINGIDA hakuna wachawi hata kidogo zaidi MBOJO ambayo pia ni DANGANYA TOTO TU na mimi ndio mkazi KIJIJI CHA MTUNDURU, SINGIDA

Unamfahamu mzee dula kijanga wa pale Misugha baada ya kutoka makiungu kama unatoka singida. Kwa nini yupo kule?
 
Ndugu yangu nakusikitikia sana historia ya mkoa wa SINGIDA hakuna wachawi hata kidogo zaidi MBOJO ambayo pia ni DANGANYA TOTO TU na mimi ndio mkazi KIJIJI CHA MTUNDURU, SINGIDA
Mkuu kuna Mchungaji rafiki yangu yuko Ilongelo Singida anasema kuna wachawi saana eneo hilo, unaseamaje wewe?????

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…