Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Status
Not open for further replies.
Wewe ni mnafiki kama unajua Mungu anapigania kwa nini alimuacha huyo rafiki yako asimpiganie.Zake zilifika full stop acha siasa za kichadema.Mnakosaga vitu vya kuandika mbavu kabisa
Ni kweli bro ila mungu yupo atanipigania
 
halafu ndo tunawaita viongozi mwee hukumu ya Mungu naichukue nafasi yake
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.
Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!
 
Simple tafuta TIN number yake, angalia kamaanalipa?

Hebu kaka naomba unisaidie kitu kidogo tu , fuatilia kama Ndugai anaendelea na hizo biashara zake na kama analipa kodi , tuletee hapa Jf , tutashughulika Naye , haya mambo yake ya ushirikina yanaishia hukohuko kwao , fanya hivyo kaka.
 
Inaonekana kusoma hakuna matokeo ya moja kwa moja na kuelimika, nilitegemea mtu wa kiwango cha masters kiwango chake cha kufikiri kiwe juu na siyo katika viwango vya KICHAWI. Nilifikiri mwisho atatueleza kwamba lorry hilo liliendeshwa na Job au lina uhusiano naye, kumbe mwelekeo wa mawazo yake ni UCHAWI?

Napata shida namna ya kuliweka neno ''Great thinker'' wakati watu wanajizuia kufikiri kwa upana badala yake wanayapa majibu maswali machache waliyoyachagua yenye mwelekeo wa kichawi. Sijui hali itakua vipi kwa wale ambao hata darasa la pili hawakufika.

Labda hata huyu Prof. Majimarefu ni Prof. wa University!!! Maana ndiko mtoa maada anajaribu kutuelekeza. Sasa na hizi elimu za kata sijui hali itakuwaje.
 
Personally naamini uchawi upo!
Alafu ivi unapochukua hatua ya kukiondoa kiumbe cha mwenyezi duniani kwa matakwa yako ivi wewe utaishi milele?
Ngoja nawe ufe uone mziki wake mbele ya mola.
 
Anaonekana ni kiboko amfanyizie na Kamanda Lissu
 
Ni kweli kabisa.. Ndugai ni mshirikina sana. Mganga wake yuko Kijiji cha Mbande, njia panda ya kwenda Kongwa ukiwa Barabara kuu ya Dodoma Morogoro/Dar.

Nachoweza kusema Ndugai hafai! Uchaguzi wa 2010 aliponea tundu la sindano. Kongwa wameshamchoka sana, alichofanya ni kumteka nyra mpinzani wake na kumfungia ndani na kwamba alimtishia maisha kuwa angemuua kama angeendelea kushindana naye. Jamaa kaufyata hadi leo. Chezea fupi nyundo weye!
 
Ndiyo maana nchi na watu wake wanadhoofika tu ni kwasababu wenye mamlaka wanakwepa kulipa kodi na kukalia kulipiza visasi kwa watu wachini wanapowabana .Familia, kijiji, mji na haya nchi iliyosheni watu na watawala wanaojihusisha na ushikirina haifanikiwi kamweeeeeeeeeeeeeeee.
Mungu atuhurumie
 
Kama ni kweli damu ya marehemu na iwe juu ya Ndungai.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Uchawi upo na nguvu ya kuwapiga wachawi ipo nayo ni Power of Jesus Christ sasa hivi tunatuma fire kwa wachawi wote hasa bungeni!
 
Personally naamini uchawi upo!
Alafu ivi unapochukua hatua ya kukiondoa kiumbe cha mwenyezi duniani kwa matakwa yako ivi wewe utaishi milele?
Ngoja nawe ufe uone mziki wake mbele ya mola.
Wamekula na kuvimbiwa. Hawajui kama nao kuna siku watakufa.
 
Hi wanajamvi, leo nakuja mbele yenu kuwaeleza hiki kitu.

Nakumbuka mwaka 2010 nikiwa nafanya masters chuo kikuu cha dsm kulikuwa na afisa mmoja wa tra wilaya ya kongwa ndugu STANLEY NYAMBOGA. Huyu kijana alikuwa ni kijana machachari na alikuwa na msimamo mkali asiyependa yumbishwa. Nilibahatika kufanya nae kazi MBEYA baadae akahamishiwa mjini kongwa na kuwa afisa wa TRA wilaya.

Mnamo mwaka 2010 aliingia kwenye mgogoro na ndugu Job Ndugai kipindi hiko akiwa ni mbunge. Sababu kubwa ya bifu hilo ni muheshimiwa Ndugai kukataa kulipa kodi kwenye oil stations zake zilizopo wilayani KONGWA. Sasa huyo jamaa alimuandikia barua mheshimiwa Ndugai kuhusu suala la kulipa kodi ila Ndugai akapuuza. Akamuandikia nyingine kupitia mke wake ambaye ni daktari wa wilaya ya KONGWA na kumueleza walipe kodi but mheshimiwa Ndugai kwa jeuri akakataa. Huyo kijana alimuandikia barua ya kumuita ofisini kwake kumueleza alipe kodi pamoja na kumueleza kuwa atamchukulia hatua kali za kisheria. Bwana Ndugai alikuja ofisini kwake kumtukana na kumtishia maisha lakini yule kijana alisimamia msimamo wake. Kuona hivyo mheshimiwa sana alilipa ile kodi but alimuhaidi kuwa atakiona cha moto.

Baada ya mwezi mmoja tokea tukio hilo, marehemu alirudi chuoni lakini cha ajabu alikufa katika mazingira ya ajabu. Akiwa mitaa ya Gairo akitokea Kongwa kwenda Dar chuoni alikutana na roli lililokuwa kasi ikambidi asogee pembeni kulipisha hilo roli yeye akiwa kwenye gari lake lakini lile roli lilimfuata huko huko pembeni na kumgonga ila cha ajabu alikufa peke yake kwa kupasuka kichwa wakati kwenye gari kulikuwa na watu wengine wanne.

Maswali ya kujiuliza. Je ni kwanini afe peke yake? Kwanini ajali itokee baada ya kumbana mheshimiwa alipe kodi?

Nimeandika haya baada ya kumkumbuka jamaa yangu pia nawaonea huruma wale vijana waliotuma sms na kumpigia simu Ndugai na kumtukana jamaa hafai.

R.I.P STANLEY NYAMBOGA nitakukumbuka milele ndugu na rafiki yangu.

Marehemu apumzike kwa amani huko aliko. Wewe mtoa mada umenishangaza sana. Eti unauliza kwa nini afe yeye peke yake? Wee ulitaka wafe wote ndio roho yako ifurahi? watu wengine mnashangaza sana. Hakuna uhusiano wa kifo cha ndugu yako na vitisho vya job ndugai. Isitoshe, inawezekana alishatishwa na watu wengi kutokana na msimamo wake wa kudai kodi ya serikali. Umbeya mtupu. Unataka kumchafua Job Ndugai kwa chuki zako binafsi. Hatuwezi kuvumilia hilo. Ukweli ndio huo.
 
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.
Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!

ya ukweli hii mkuu? ni hatari....
 
Kwa hili la kukwepa kodi, hakuna aliye msafi katika wabunge wa CCM. Mfano, Yule aliyewahi kuwa waziri wa Maliasili na utoroshaji wanyama, akanunua Jumba la kiukweli Mbezi beach, kafaili kake ka kodi kako Temeke, ati kalipa kodi mwaka juzi shilingi laki mbili. Na wengi wengine akina EL, Rosti tamu, in short wakwepa kodi mahiri ni vigogo na wafadhili wa CCM.
 
Huyu si ndio aina ya mijitu iliyojaa huko magambani! Uchawi kila sehemu!

Wewe Amiliki mbona wewe ndo unatafutwa na FBI, ngoja nikatoe taarifa nimekuona JF nijinyakulie mamilioni...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom