Ilikuwaje youtube wakampa tuzo mtu anaewacheat kwa kununua viewers?
Ina maana ma TI wa youtube ni maboya wanaruhusu mtu ambae a/c yake iko verified anawaibia alafu haohao youtube wanamlipa?
Samahani lakini
Kwa hiyo wamekurupuka tu kumpa tuzo hawkujilizisha au kufanya uhakikiAnasubiri auditing ya youtube... Hata akina Rihanna walipunguziwa views.
Usishangae hilo jina la mchambuzi, kihaya hilo ni jina tu kama vile mganyeziAhahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
Kwa dunia ya sasa hamna jipya, una iga una kiboresha unaendelea mbele.Kuiga haijalishi kwann asitafute idea za kwake au mwonekano wake binafsi kwann aige, kwan nahreal ni level yake mbona kamuiga nywele[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Cku izi upo busy sana nn maana unaingia na kusepa na rafiki yako hence mtanashati naona wamem ban tenaKwa dunia ya sasa hamna jipya, una iga una kiboresha unaendelea mbele.
Kwenye kuiga nampa heko kwa kwelo bhana Platnumz
Kwanza huyo max ndio nani!!?,
Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
HahahaCku izi upo busy sana nn maana unaingia na kusepa na rafiki yako hence mtanashati naona wamem ban tena
Sasa mkuu ukisema hivo labda mwana FA anakuwa mkali ki mashairi, ila muziki kwa ujumla ni pamoja na kusikika.MwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.
So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!
Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Kwa hiyo wamekurupuka tu kumpa tuzo hawkujilizisha au kufanya uhakiki
Nishaona sana coment zako kama co wema bas utakuwa jojoEt billion 9 asee wabongo ndo maana tunasujudiana, yaan watu mnachukulia kama bl ni kitu cha kawaida
Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
Mbona husemi na cc tulivyoiba wimbo wa taifa SAHahaaaa mm Jana nimetoka kusema huyu domo wao anaiga kila kitu sa HV ndo naamini ule wimbo wa mbagara alimuibia idea Tanzanite for sure,
Mbona hata wew huyo mpenz uliyenaye umemuibia rafiki yako, dunian hakuna cha peke yako labda kaburiHahaaaaa aisee mahaba haya hv hujiskii raha msanii wako akija na kitu cha tofauti?? ,Salome kaoga Nigeria , nywele kaiga yaani kila kitu,. Mziki wake anaiga Nigeria HV ishawahi kuona wimbo/ video ya alikiba alioiga sehemu, king mziki wake ni wa kipekee sauti ya kipekee, kila kitu ni uniqueness kwetu hakunaga kuigaaa
Hiv kuna mtu ambaye haigi wew mwenyewe ukiona jiran yako ana kitu kizuri utazichanga changa mpaka na wew ukanunue, bas ingekuwa hivo kila mtu angekuwa ana muundo wake wa gari, nyumba na n.k but kila kitu tunaiganaKuiga haijalishi kwann asitafute idea za kwake au mwonekano wake binafsi kwann aige, kwan nahreal ni level yake mbona kamuiga nywele[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Nitajie show moja tu ya nje ya nchi aliyofanya Ali tofauti na zile za mombasa na zile za kusindikiza wenzake wakichukua tuzo.Ndio unataka kusemaje?!
Unataka Diamond akifanya show na Ali afanye show?!
Kwa hiyo toka uje mjini ujawahi kusikia Ali kafanya show?!
we itakuwa umeanza kufuatilia mziki mwaka 2009 baada ya wimbo wa Kamwambie
Ali alikuwepo ndio kama diamond but hakuwah kuufikisha mziki wetu mbali kama alivyofanya diamondMkuu mbona namna hii tena?
Hivi ulisoma ulichoandika?!
Mbona unatia aibu hivi?
Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!
Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Umesoma nilichoandika lakini?Mkuu mbona namna hii tena?
Hivi ulisoma ulichoandika?!
Mbona unatia aibu hivi?
Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!
Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Unawajua wamarekani Wewe? UnafikiriHizi akili zenu sijui zinafikiria nini?
Ngoja niwaache na ujinga wenu wa ki team, alafu mwambieni king wenu apeleke mziki wake nje ya kko, uyo anaenunua viewers sasa anaangalia soko la ulaya na america,
Nieleweshe wewe unaewajuaUnawajua wamarekani Wewe? Unafikiri