Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ilikuwaje youtube wakampa tuzo mtu anaewacheat kwa kununua viewers?
Ina maana ma TI wa youtube ni maboya wanaruhusu mtu ambae a/c yake iko verified anawaibia alafu haohao youtube wanamlipa?
Samahani lakini

Anasubiri auditing ya youtube... Hata akina Rihanna walipunguziwa views.
 
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
Usishangae hilo jina la mchambuzi, kihaya hilo ni jina tu kama vile mganyezi
 
Kuiga haijalishi kwann asitafute idea za kwake au mwonekano wake binafsi kwann aige, kwan nahreal ni level yake mbona kamuiga nywele[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Kwa dunia ya sasa hamna jipya, una iga una kiboresha unaendelea mbele.
Kwenye kuiga nampa heko kwa kwelo bhana Platnumz
 
Kwa dunia ya sasa hamna jipya, una iga una kiboresha unaendelea mbele.
Kwenye kuiga nampa heko kwa kwelo bhana Platnumz
Cku izi upo busy sana nn maana unaingia na kusepa na rafiki yako hence mtanashati naona wamem ban tena
 
649ea7f6b3b91f3ee124a560e5d884ba.jpg


Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
Kwanza huyo max ndio nani!!?,
Na ana fanya shughuli gani mpaka athibitishe kuwa diamond kanunua likes!!?

It doesnt make sense hapo
 
MwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.

So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!

Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Sasa mkuu ukisema hivo labda mwana FA anakuwa mkali ki mashairi, ila muziki kwa ujumla ni pamoja na kusikika.
Hata USA kuna wasanii watakuwa wana wazidi kina Lil Wayne, lakini kwakuwa hatuwajui, hata wakisema wao ni wakali its non sense, kuvuka mipaka ni kigezo ambacho haitakiwi ukichukulie kirahisi hivo asee bob
 
Kwa hiyo wamekurupuka tu kumpa tuzo hawkujilizisha au kufanya uhakiki

Auditing huwa inafanyika kila baada ya kipindi fulani, kikifika kipindi hicho, itafanyika na ukweli utafahamika.

Ikumbukwe mwaka 2012 zilifutwa fake views 2 billions, unadhani hadi zinafika hiyo namba hakukuwa na uhakiki?
 
Hahaaaaa aisee mahaba haya hv hujiskii raha msanii wako akija na kitu cha tofauti?? ,Salome kaoga Nigeria , nywele kaiga yaani kila kitu,. Mziki wake anaiga Nigeria HV ishawahi kuona wimbo/ video ya alikiba alioiga sehemu, king mziki wake ni wa kipekee sauti ya kipekee, kila kitu ni uniqueness kwetu hakunaga kuigaaa
Mbona hata wew huyo mpenz uliyenaye umemuibia rafiki yako, dunian hakuna cha peke yako labda kaburi
 
Kuiga haijalishi kwann asitafute idea za kwake au mwonekano wake binafsi kwann aige, kwan nahreal ni level yake mbona kamuiga nywele[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Hiv kuna mtu ambaye haigi wew mwenyewe ukiona jiran yako ana kitu kizuri utazichanga changa mpaka na wew ukanunue, bas ingekuwa hivo kila mtu angekuwa ana muundo wake wa gari, nyumba na n.k but kila kitu tunaigana
 
Ndio unataka kusemaje?!

Unataka Diamond akifanya show na Ali afanye show?!

Kwa hiyo toka uje mjini ujawahi kusikia Ali kafanya show?!

we itakuwa umeanza kufuatilia mziki mwaka 2009 baada ya wimbo wa Kamwambie
Nitajie show moja tu ya nje ya nchi aliyofanya Ali tofauti na zile za mombasa na zile za kusindikiza wenzake wakichukua tuzo.
Nilichokuwa namaanisha Ali hana uwezo wa kuupeleka mziki wake nje ya mipaka ya Tz na kwa maana hiyo hakuna mabadiliko yoyote aliyoutendea bongo fleva na sijaanza kumjua Ali na muziki wake leo!
Namtambua toka anaanza muziki
 
Mkuu mbona namna hii tena?

Hivi ulisoma ulichoandika?!

Mbona unatia aibu hivi?

Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!

Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Ali alikuwepo ndio kama diamond but hakuwah kuufikisha mziki wetu mbali kama alivyofanya diamond
 
Mkuu mbona namna hii tena?

Hivi ulisoma ulichoandika?!

Mbona unatia aibu hivi?

Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!

Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Umesoma nilichoandika lakini?
 
Hizi akili zenu sijui zinafikiria nini?
Ngoja niwaache na ujinga wenu wa ki team, alafu mwambieni king wenu apeleke mziki wake nje ya kko, uyo anaenunua viewers sasa anaangalia soko la ulaya na america,
Unawajua wamarekani Wewe? Unafikiri
 
Kwa maelezo niliyona apa inasemakana kwa kila 1000 view unatakiwa kutoa 2$

so domo hutumia milion nne za kibongo kwa view million moja so zidisha sasa kwa izo view utapata jibu ni kias gani kinamtoka kwa kununua view tu
 
Back
Top Bottom