Ilikuwaje youtube wakampa tuzo mtu anaewacheat kwa kununua viewers?
Ina maana ma TI wa youtube ni maboya wanaruhusu mtu ambae a/c yake iko verified anawaibia alafu haohao youtube wanamlipa?
Samahani lakini
Anasubiri auditing ya youtube... Hata akina Rihanna walipunguziwa views.