Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Mimi hata sishangai yeye kununua Views maana tunamjua ni mzee wa misifa.

Ila kinachonishangaza mimi ni kwanini anawanunulia VIEWS Mpaka wasanii wanaomshirikisha Kama wafuatao:

1. AY - ZIGO RMX

2.JAH PRAYZAH

3.AKOTHEE

4.AKOTHEE

5.CHEGE - ACHA WAOANE

6.ERIC OMOND ( How to be Diamond Platnumz inakimbiza views balaa , mpaka sasa zaidi ya 700,000)

Sasa mimi nauliza yeye anapata faida gani kuwanunulia mpaka watu wanaomshirikisha?

Sitaki kujua lundo la watu wanaompokea maana hao anawanunua hakuna ubishi - SHOWS ananunua pia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] hapa hawawezi kujibu
 
Mm sina doubt ya kununua view naamini huwo mchezo haupo coz siamin kama mtu kapewa adi tuzo na YouTube na hawakuliona hilo siamini kama wana ujinga kiasi icho.....kinachotusumbua apa ni ushabiki hakuna kitu zingne maana kama hilo jambo lipo lingekuwa lishathibitishwa kitambo tu
Bosi Mimi sina ushabiki ndiyo maana katika majibu yangu sijamlenga msanii yeyote ila mada iliyopo mezani.
 
Bosi Mimi sina ushabiki ndiyo maana katika majibu yangu sijamlenga msanii yeyote ila mada iliyopo mezani.
Thibitisha sasa kwa vitendo cyo maneno utuonyeshe view kabla na baada ya kununua
 
Duh ukweli umekua mipasho tena mkuu? Mimi na wewe tunabishana juu ya views huko Marekani wanataka kurudia uhesabuji wa kura katika majimbo 3 kukiwa na speculation kua kuna hacking imefanyika, hiyo ndiyo itaweza kuthibitisha kwa sasa inahisiwa.

Tusitoke nje ya mada sana hiyo ilikua ni mifano ya kukuonesha kua rafiki zako ni waongo.
Sawa nimekuelewa! Kinachoendelea marekani ni mihemko tu ya kushindwa kura!
Subiri warudie kuhesabu hizo kura utaona nini kitatokea!
Halafu kinachoendelea kule ni tuhuma hakuna mtu amethibitisha kama warusi walihack hiyo sysytem!!

Ingawa sikukatalii moja kwa moja kama hacking haiwezekani......

Haya kunawatu wanasema saizi kokoro haitrend lakini viewers wanaongezeka kama maji, wanashindwa kuangalia video ya tekno iliyotoka siku moja na kokoro inaviewers wangapi!!
 
Naombeni kujua faida ya kuwa na views nyingi na hasara ya kuwa na views kidogo.
 
Sawa nimekuelewa! Kinachoendelea marekani ni mihemko tu ya kushindwa kura!
Subiri warudie kuhesabu hizo kura utaona nini kitatokea!
Halafu kinachoendelea kule ni tuhuma hakuna mtu amethibitisha kama warusi walihack hiyo sysytem!!

Ingawa sikukatalii moja kwa moja kama hacking haiwezekani......

Haya kunawatu wanasema saizi kokoro haitrend lakini viewers wanaongezeka kama maji, wanashindwa kuangalia video ya tekno iliyotoka siku moja na kokoro inaviewers wangapi!!
Ambacho mimi natengenezea arguments hapa ni ikiwa kununua views inawezekana au haiwezekani, hiyo ishu ya Kokoro sina uelewa nayo.
 
Jibu lako tu linatosha kutuaminisha kuwa icho kitu ata ww unatudanganya
Umeandika kama vile ulikua una hamu tu ya kupost kitu, sioni ground iliyosimamia hii post yako mkuu.
 
Ngoja tufanye kautafiti ujanja ujanja hatutaki ingawa mimi sio hater wa Diamond nakubali masongi yake.

Trending list kenya
Popular Right Now - Kenya - YouTube
Darasa yupo namba 30
FA dume suruali namba 31
kokoro radio tour namba 40
kokoro official video haipo kwenye trending videos list ambazo zipo 200
Mchukue huyo willy paul ambae ndio namba moja mlete tulinganishe trending yake huku bongo mkuu
 
Sasa Kama Diamond inamsaidia, Na wao wanunue Tu, Kama hawawezi wakae kimya! Kama Mganga kamsaidia Diamond kufika alipofika Na wao waende Tu, Kama hawawezi wakae kimya.....yani Kuna level Msanii ukifika labda kifo Tu ndo kinaweza kukushusha, Kama Kanumba! Otherwise hakuna ngumu kumshusha mtu!!
 
Sample size, kwa EA diamond ana fan base kubwa TZ na Kenya.
umejiuliza au umeona kituo chochote cha tv kinacheza huo wimbo wa kokoro lakini bado uko juu tu? kwa tanzania
 
Hawa wasanii wenye popularity coverage ndogo wanasumbua sana sasa madimpo nae anataka awe sawa na mondi kuwa na views sawa YouTube[emoji3],mbona vichekesho hv unapo kuwa na fan base kubwa kidunia ndivo unapata viewers wengi YouTube so madimpo akazane tu atafika aache wivu wa kike
 
649ea7f6b3b91f3ee124a560e5d884ba.jpg


Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
Ww na mchambuzi mnafaa kupuuzwa
 
Back
Top Bottom