Issue ni kwamba Magufuli kachoka mnooo....hata sura imeporomoka Sana, haina nuru.... something is not normal internally.Sio dhana ni ukweli na hata Lissu anajua hatoshinda. Na mtapoteza majimbo mengi sana.
Ndege zina faida kiuchumi ila hapo hoja ni serikali kuingia kwenye biashara moja kwa moja kwa kununua ndege tena cash, mf baada ya kuingia corona ndege hazijafanya kazi so hapa ni hasara kwa wananchi ndo maana biashara kama hizi zinafanywa na mashirika private like fastjetKabla sijajibu kwa Uelewa wangu nami naomba Kwanza nikuulize je, Ndege hazina Tija Kiuchumi? Je, Rais Kujenga Uwanja wa Ndege Kwao Kosa?
Unashangaa nini kumuona Magufuli kachoka hujui kwamba Magufuli anafanya mambo mawili makubwa kwa wakati mmoja?Issue ni kwamba Magufuli kachoka mnooo....hata sura imeporomoka Sana, haina nuru.... something is not normal internally.
Nadhani hili lina ukweli asilimia 90, wakati wa sabasaba kwenye banda la TBA kulikuwa na ramani na majengo mbalimbali yanayoendelea kujengwa sehemu mbalimbali za nchi.Nasikia wanataka kuchukua kibondo na chato uwe mkoa mpya.
Kwani Magufuli ndio wa kwanza kuongoza nchi na kupiga kampeni kwa wakati mmoja?Unashangaa nini kumuona Magufuli kachoka hujui kwamba Magufuli anafanya mambo mawili makubwa kwa wakati mmoja?
Kwanza anaendesha nchi kama rais pia anafanya kampeni.
Usimlinganishe na Lissu ambaye kazi yake kubwa ni kupayuka tu.
Comrade tunapowaambia chama chetu ccm kimejipanga muwe mnatuelewa.Mnajiamini kwa sababu ni majizi ya kuiba kura kama mnavyoaza kufanya sasa mnaandikisha watu majinaView attachment 1571919
Unamsemea David Malpass au? Kama sio nitajie jina la huyo unayemsema mkuu.Rais wa benki ya Dunia (IBRD World Bank) ni daktari wa kutibu watu.
Wali wa kushiba unauona kwenye sahani.
Kimejipanga kwa wizi wa kura majambazi wakubwa safari hii haibiwi mtuComrade tunapowaambia chama chetu ccm kimejipanga muwe mnatuelewa.
Iyo ni survey kutaka kujua idadi ya wanachama ambao wana kadi ya mpiga kura.
Ni maamuzi ya hovyo kabisa, maana bajeti yake haikupita bungeniSio siri tena, hoja ya matumizi ya pesa za serikali ili kununua ndege na ujenzi wa kiwanja kikubwa cha ndege tena cha kisasa katika kijiji cha Chato wilayani Geita ndio inarindima zaidi kwenye majukwaa ya kampeni za Urais za CCM kwenye huu uchaguzi mkuu wa 2020.
Karibu kila mahali Rais Magufuli alipofika kufanya kampeni ameweza kulizungumzia hilo huku akionyesha wazi wazi kuchukizwa na watu wanaozidi kuliibua hilo jambo kipindi hiki.
Hivi ni kweli hilo jambo linamtesa Magufuli kwa sasa?
Ni kwanini Magufuli anapoteza muda na nguvu zake kulitetea hilo jambo badala ya kujikita kwenye kuinadi ilani yake ya uchaguzi?
Ipo haja ya kuanza kunoa majambia yetu ili kuwashughulikia hao wezi wa kura zetu.Kimejipanga kwa wizi wa kura majambazi wakubwa safari hii haibiwi mtu
2015 mlituhakikishia kuwa yule mtalaamu wa kuiba kura lowassa amekuja nae chadema. Baada ya hapo hamjawahi kutuambia kama aliondoka na lowassa au bado mpo nae.Kimejipanga kwa wizi wa kura majambazi wakubwa safari hii haibiwi mtu
Comrade tangu lini keyboard ikawa jambia??Ipo haja ya kuanza kunoa majambia yetu ili kuwashughulikia hao wezi wa kura zetu.
Hii yote ni kwanini?Comrade tangu lini keyboard ikawa jambia??
Comrade msipende kupinga pinga tu kila kitu, umeme kaulize matokeo ya REA, hospital na vituo vya afya zimejengwa nchi nzima. Sijui kwanini mnajitoa sana ufahamu?Hii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
Umeona wapi hakuna maji? Umeona wapi hakuna hospital?Hii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
Akichukizwa zaidi arudishe pesa zetu,asitufokee wakati katupiga yeye na dotoSio siri tena, hoja ya matumizi ya pesa za serikali ili kununua ndege na ujenzi wa kiwanja kikubwa cha ndege tena cha kisasa katika kijiji cha Chato wilayani Geita ndio inarindima zaidi kwenye majukwaa ya kampeni za Urais za CCM kwenye huu uchaguzi mkuu wa 2020.
Karibu kila mahali Rais Magufuli alipofika kufanya kampeni ameweza kulizungumzia hilo huku akionyesha wazi wazi kuchukizwa na watu wanaozidi kuliibua hilo jambo kipindi hiki.
Hivi ni kweli hilo jambo linamtesa Magufuli kwa sasa?
Ni kwanini Magufuli anapoteza muda na nguvu zake kulitetea hilo jambo badala ya kujikita kwenye kuinadi ilani yake ya uchaguzi?
Mkuu Urais si mhimili wa kukosea ukajirekebisha, ukikosea unawajibika au unawajibushwa.Magufuli kafanya mambo mengi mazuri na pia ni binadamu ana mapungufu. Katika mambo anayopaswa kuyasahisha kama ataendelea awamu ya pili ya miaka mitano..
1. Kurudisha uhuru wa Bunge na Mahakama
2. Kupunguza na kupitia upya sheria kandamizi dhidi ya vyombo vya habari
3. Kurudisha imani ya wananchi kwenye vyombo vinavyosimamia chaguzi yaani NEC na ZEC
4. Kuzuia / kutokomeza matumizi ya watu wasiojulikana...
5. Kulegeza suala zima sheria za mifuko ya hifadhi ya kijamii (MAFAO)
6. Kupitia upya makato ya makopo ya Elimu ya juu (retention fees).
7. Bunge live
Hayo mambo sita naimani kabisa yangekuwa hata ndani ya Ilani ya CCM, tungeongea mengine kwenye uchaguzi huu.
"maendeleo hayana chama"
Kwa mfumo uliopo hawajibishwiMkuu Urais si mhimili wa kukosea ukajirekebisha, ukikosea unawajibika au unawajibushwa.
Hujaeleweka mkuu!Tuuu kama visingejengwa viwanja 15 vipya na kurabatiwa. Unless Geita uwe mkoa pekee ambao hauna kiwanja cha ndege. Ushabiki sanaaaa lakini tuwe na akili kidogo.