Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Eti kuna wapuuzi wanakuambia tz ni nchi ya amani, amani ipi hiyo wanayozungumzia kama watu wasiokuwa na hatia wanateswa na kuuwawa?
 
Maandamano ya amani hawayataki wanauwa watu iliyobaki ni kufanywa sunna tu na faradhi ikibidi
Mimi nashauri watanzania wote tufanye tuwasomee duwa hawa washenzi Mungu atatusikia tu , mimi kila siku nikitoka kubeba boksi lazima nimsomee Jiwe dua ya viongozi dhalimu , jeuri ndio nilale yaani wote tukifanya hivyo damu za waliokufa hazitapotea bure . Kama watu hamuijui niwawekee hapa nikumgonga duwa Jiwe na ka Hussein Mwinyi Mpaka wabroo .
 
Amevuna alichopanda, nani alimwambia afanye fujo, amlaumu aliemwambia akafanye fujo.
Kukosa akili ni ugonjwa mbaya sana! nahisi ulivyo na akili ndogo hata jinsia yako huijui vyema! Huyu mzee ni babu au baba yako jua hilo.
 
Ni wazi Hawa wameumizwa Sana Kama video hii ni ya kweli....Mungu awalinde kwa kweli...ila waliumizwa wakiwa nyumbani kwao au kwenye matembezi yao mitaani?!
 
Ni wazi Hawa wameumizwa Sana Kama video hii ni ya kweli....Mungu awalinde kwa kweli...ila waliumizwa wakiwa nyumbani kwao au kwenye matembezi yao mitaani?!
Sikiliza hii clip

 
Uko sahihi, mshikamano wenu lazima ulindwe kwa nguvu zote. Mshikamano wenu ni legelege na bila kutumia nguvu ya ziada utaporomoka. CCM ulisha sambaratika kitambo, ni gundi ya NEC, TISS na police iliobaki kuinatisha pamoja. Ni muda nayo itaishiwa nguvu.
 
Yule mwanafunzi alipatwa na risasi bahati mbaya, ila chanzo ni maandamano ya chadema. Ndo maana wana kesi.
Nao chadema waliandamana kwenda kwa mkurugenzi kupata vibari vya mawakala wao, nae mkurugenzi alikataa kuwaapisha mawakala kwa sababu aliagizwa toka juu, nao walioko juu waliogopa kushindwa uchaguzi kama utaendeshwa kwa uhuru na uwazi, nao uchaguzi hauendeshwi kwa uhuru na uwazi kwa sababu wananchi wameichoka CCM.......
 
Hakuna askari mzee, labda kachoshwa na maisha, au alidanganya umri wakati wa kuajiriwa. Askari wa mstari wa mbele hustaafu at 55yrs. Uzee ni kuanzia 60 yrs.

Itakuwa hukuelewa hata niliyemjibu amekimbia kaelewa
 
Sikiliza hii clip

Nimeisikiliza...Kama kweli idadi ya vifo ni kubwa na mateso mengi ni jambo baya..
Lakini swali ni kuwa maafa yalitokea majumbani au mitaani/barabarani? Halafu maalim atafanya jambo la maana Kama ataite belea pia familia ya Askari yule aliyechinjwa Kama kuku
 
Kwani ni LAZIMA kuandamana kudai vibali? Walikuwa na kibali cha maandamano? Haya ndo tunayosema kila siku, Fuateni utaratibu!! Vinginevyo mtaendelea kulalamika kuonewa, wakati hamfuati utaratibu. Na usipofuata utaratibu, utapigwa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…