Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wewe endelea kulipwa elfu 7 ili ujikimuAcha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM inayotegemea polisi ndiyo iliyokufa.Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
CHAMA kimekufa mnasumbuka nae nn makalio nyie...chama kilichokufa ni kile kinachonunua wanasiasa pumbavAcha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee naye siku zake ccm zinahesabikaCCM inayotegemea polisi ndiyo iliyokufa.
Chadema na wapinzani wengine wako imara zaidi sasa kuliko hata ilivyokuwa 2015.
View attachment 1372057
Kafa baba yako, mnapambana kishamba sana, siasa zimewashinda mmebaki kutumia mabavu hovyo kabisa nyie watu!Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalipwa fedha kutetea dhambiAcha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari imekaa kishabiki sana.Bado haijafahamika kama wamepigwa risasi na askari walioagizwa kuua na Mkuu wa Wilaya , Mwandishi wa Mwananchi Janeth Joseph na Elia Peter wa global Tv ndio walioathirika zaidi
Wanatuhumiwa kupiga picha tukio baya lililopangwa la kummaliza Mbowe
Shukrani za Pekee ziwafikie walinzi wa Mbowe waliowadhibiti Polisi waliotaka kumuua Mbowe
Askari wenywe hata nguvu hawana bila bunduki hapo hawanauwezo wakuchukua mtu yeyote.Zipeleke ubalozi wa Marekani na nyingine mtumie Lisu huko Ubelgiji azisambaze kwa jamaa zake.