Unyama : Waandishi wa Habari wanusurika kuuawa na polisi kwenye sakata la kumkamata Mbowe , Wapelekwa Hospitali ya wilaya

Unyama : Waandishi wa Habari wanusurika kuuawa na polisi kwenye sakata la kumkamata Mbowe , Wapelekwa Hospitali ya wilaya

Sio yeye tuu subiri 2021 aapishwe tena uone hata huko chamani wote wanaojifanya ccm ndio yao na wote watakao kuwa walichukua form y urais kilichopo ni kuwa kuwaficha wote ili kama 2025 hataachi kama wanavyomkadiria ikute hakuna mwenye jeuri ya kumuuliza.yaani yale ya drc kongo kwa kabila au rwanda na uganda yatafanyika hapa kwetu
Huyu mzee naye siku zake ccm zinahesabika
 
Bado haijafahamika kama wamepigwa risasi na askari walioagizwa kuua na Mkuu wa Wilaya , Mwandishi wa Mwananchi Janeth Joseph na Elia Peter wa global Tv ndio walioathirika zaidi

Wanatuhumiwa kupiga picha tukio baya lililopangwa la kummaliza Mbowe

Shukrani za Pekee ziwafikie walinzi wa Mbowe waliowadhibiti Polisi waliotaka kumuua Mbowe
yaani unavyopendaga kukuza habari? sasa huyo mbowe anakipi sasa hivi chakumuulia eti walitaka wamuue mbowe kwa lipi sasa kaongea mautumbo yake alitakiwa akajibu kituoni sasa unaleta maneno ya kipuuzi eti auliwe na nani sasa acha ujinga na ushabiki wa kilimbukeni
 
Muda mwingine mnakuwa wajinga sana Mbowe hata kama walipanga kumuua unafikiria wangetumia njia hii?

Ila hawa polisi wanatupeleka kwenye matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kosa kuzuia polisi kufanya ukamataji. Huyo mlinzi wa Mbowe anapaswa kufahamu hilo kwamba hana mamlaka ya kuzuia bosi wake asikamatwe.

Upinzani badala ya kushindana kujenga hoja wao wapo busy kupambana na polisi.
 
Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa hana kitu,mishuzi inayowatoka kila akiongea ya nini?
Kwa nini mnamzuia asiongee?
Jeshi,TISS,Polisi,wote mnawatumia kuidhibiti Chadema,
Tubadilishe kidogo hata kwenye fikra tu,
Ccm muwe upinzani,Chadema iwe ikulu,harafu mfanyiwe haya ambayo mnawafanyia Chadema,tuone kama mtadumu hata dk 10!hii ni reality ambayo ccm yeyote anaomba isije ikawa kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kosa kuzuia polisi kufanya ukamataji. Huyo mlinzi wa Mbowe anapaswa kufahamu hilo kwamba hana mamlaka ya kuzuia bosi wake asikamatwe.
Kwa akili yako Mbowe akiambiwa akaripoti kituo cha polisi atagoma?
Kuna haja gani ya kumkamata kama kibaka? Yule ni mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio kibaka yule.

Tufike mahala tuheshimiane wakuu, hizi ajira na kazi ni vitu vya kupita, kuna siku ya kustaafu na kurudi kijijini kwenu au kibandani kwako kufuga kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili yako Mbowe akiambiwa akaripoti kituo cha polisi atagoma?
Kuna haja gani ya kumkamata kama kibaka? Yule ni mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio kibaka yule.

Tufike mahala tuheshimiane wakuu, hizi ajira na kazi ni vitu vya kupita, kuna siku ya kustaafu na kurudi kijijini kwenu au kibandani kwako kufuga kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokuelewa majukumu kwa mlinzi kumeongeza vurugu.

Hakuna aliye juu ya sheria. Ukiwa Mbunge huna kinga dhidi ya vyombo vya dola kufanya kazi yake. Tutii sheria na mamlaka zilizopo, simple as that.
 
Acha kufikiri kama hayawanj,kama angekuwa na nguvu unazoona wewe ndio astahili kuuawa.Nyie ndio mnafanya Chama kionekane cha hovyo.Kama huwezi jifikirisha kaimisha kichwa hata Kwa mkeo
Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

B-50
 
bagamoyo, Acha kupotosha umma, kuna kipi kibaya kwenye hii clip?

Acheni kutafuta huruma za hovyo , chama kinawafia badala ya kuimarisha chama mnapiga majungu na kutafuta huruma, hovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ka-bomu ka machozi au hata risasi ya moto inaweza kuumiza mtu katika msongamano kama huu. Bora angepewa wito wa kufika kituo cha Polisi. Na tunajua ingesemwa uchunguzi unaendelea hivyo kulikuwa na haja gani ya vyombo vya usalama kutumia nguvu kubwa.
 
Kutokuelewa majukumu kwa mlinzi kumeongeza vurugu.

Hakuna aliye juu ya sheria. Ukiwa Mbunge huna kinga dhidi ya vyombo vya dola kufanya kazi yake. Tutii sheria na mamlaka zilizopo, simple as that.
We ndo huelewi, unahisi yule mlinzi haelewi udharimu wa polisi?

Watu tukishakuwa humu tunasifu na kuabudu kila jambo hata kama lina minya demokrasia ya watu wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Kuna watu wameathirika kiakili kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya,ulevi wa madaraka ama ahadi kuwa ukinifanyia hili na hili nitakupandisha cheo.
Hivi mfano,hao maaskari walokuwa wanaanzisha fujo ingetokea wananchi nao wakawavamia Nini kingetokea?.

Hivi asikari lazima utumie nguvu?.
Hapo angemshawishi kuwa naomba vijana wangu wawili watatu wapande kwenye gari la mheshimiwa kumpeleka kituoni kungekuwa na nongwa?.

Kuna siku mtu atapigwa shoka ya kichwa kwa mambo ya kizembe zembe Kama haya.
Asikari nashauri wangetakiwa kutumia reconciliation zaidi badala ya nguvu Kama inavo onekana hapo
 
Back
Top Bottom