Punguani mkubwa kama viashiria vilionesha walitaka wamuue wewe unakuja na ujinga humuAcha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguani mkubwa kama viashiria vilionesha walitaka wamuue wewe unakuja na ujinga humuAcha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka wafe kadhaa ndiyo utaona makosa?? Kweli Afrika pazito!! Roho chafuAcha kupotosha umma, kuna kipi kibaya kwenye hii clip????
Acheni kutafuta huruma za hovyo , chama kinawafia badala ya kuimarisha chama mnapiga majungu na kutafuta huruma, hovyo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sentesi yako ya mwisho mmhhhhh!!!!.Mimi na weye na wengine tunyanyuwe mikono yetu juu kumuelekea ALLAH tumuombe atujaalie amani,upendo,mshikamano,afya na moyo wa kusaidiana.Hakuna kitu kinaniudhigi kama hivi... jitu limetoka umasaini huko linakuja kuleta ubabe uchagani linazuia kiongozi alochaguliwa na wenzie kijijini kwake asiongee na wanakijiji wenzie!! Linamparamia kumkamata na kumsweka ndani bila jinai yoyote. Hii itajaleta hali mbaya sana Siku za usoni maana sehemu nyingi zenye ugaidi ulianza ukandamizaji kwanza!!
Hakuna kama Mungu(ALLAH),aliyeumba ardhi na mbinguUshauri wangu upinzani waandike barua kwa Mkuu Wa jeshi LA polis kuelezea uhuni unaofanywa Na jeshi LA polis kwa mifano.pia waitishe kikao Na waandishi Wa habari juu ya uhuni wanaofanyiwa Na jeshi LA polis...
Nadhani labda waliambiwa na mganga wao wamuwahi palepaleNafikiri wangemjulisha afike kituo cha polisi kwa mahojiano angetii kuliko kutumia nguvu kubwa hivyo
Hashauriwi wala hapotoshwi mkuu ni deals take hizo wao wanafata maagizo ya jiwe.....Picha mbovu inaanzia hapa , mshauri mkuu wa mtukufu jiwe meko ni Daud Bashite na huyo Daudi Bashite yeye anashauriwa na Le mutuz kubwa jinga la Taifa na Cyprian Musiba yule mbwekaji wa CCM, kupitia minyororo hii unapata picha kuwa Mtukufu meko jiwe anapotoshwa na huo mfumo wa ajabu na wa vilaza wanaomshauri
Hakuna amani bila haki mkuu.....haya manyanyaso ya ccm na kiongozi wa juu anayechochea na kuagiza polisi waue tu na wasichukuliwe hatua yoyote ndo matokeo yake haya.....Sentesi yako ya mwisho mmhhhhh!!!!.Mimi na weye na wengine tunyanyuwe mikono yetu juu kumuelekea ALLAH tumuombe atujaalie amani,upendo,mshikamano,afya na moyo wa kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuamsha hasira kwa kutetea ukandamizaji. Uandishi wako unajibu swali hivi ilikuaje watu wakaamswahwa hasira hadi wakachinjana kama kuku huko Rwanda?Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika nini sasa ?Jamaa kakazana mm mlinzi wake hahahaaaaaa yaani kuna watu hawajielewi kabisa.