Picha mbovu inaanzia hapa , mshauri mkuu wa mtukufu jiwe meko ni Daud Bashite na huyo Daudi Bashite yeye anashauriwa na Le mutuz kubwa jinga la Taifa na Cyprian Musiba yule mbwekaji wa CCM, kupitia minyororo hii unapata picha kuwa Mtukufu meko jiwe anapotoshwa na huo mfumo wa ajabu na wa vilaza wanaomshauriNchi iko mikononi mwa muuaji. Hivi kwanini asifute vyama vya siasa kuliko kuendelea kuwatesa na kuwaua wapinzani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari sana ktk hali kama hii yaliyomkuta Akwilina yanaweza kutokea hapa ktk video hii hapa chini.
Source : Global TV online
wala si mbaliDaaah wananchi wa Tanzania wanafundishwa masomo magumu sana...
Lakini ipo siku wataelewa na kufaulu!!
Mmezoea kudanganywa na PolepoleHii habari imekaa kishabiki sana.
CCM wanatumia pesa za walipa kodi kuwanunua wana siasa ni matumizi mabaya ya kodi, hii nunua nunua wapinzani ni mradi uliobuniwa na akina polepole na wenzake kwa nia ya kupiga pesa za umma kiulainiCHAMA kimekufa mnasumbuka nae nn makalio nyie...chama kilichokufa ni kile kinachonunua wanasiasa pumbav
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Lissu alikuwa nani,mbona mlimshambulia kwa risasi.Acha uchochezi mbowe nani amuue analipi kwa sasa chama kimeshakufa hana sumu tena
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu nakitafakar hapa..kuna mambo yanahitaji kutafakar..moja huenda police wetu wameona wananchi wamekua wakimya kuzd sasa ..wanataka waamuke kwa kutumia mbinu ya namna hii.
Pili huenda police hawajapata elimu ya kazi yao juu ya nini maana ya democrasia na wajibu wao nini!
Niwambie polisi kuna matukio mnafanya yanaamusha hisia hasi za raia...Fikilieni kesho yenu mambo yakiharbika hata ndg na marafiki zenu watakua hatarn pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
We libibi ukiwa kwenye hedhi unasumbua sana bora tu ufike kwenye menopause uache kusumbua yaani kila uzi lazima uchangie,Bogus kabisa,Lione kwanza.Zipeleke ubalozi wa Marekani na nyingine mtumie Lisu huko Ubelgiji azisambaze kwa jamaa zake.
Zipeleke ubalozi wa Marekani na nyingine mtumie Lisu huko Ubelgiji azisambaze kwa jamaa zake.