Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Asanteni kwa cheko na heko mlilonipa wote mlioandika kwenye huu uzi khaaa.....
Maana hadi mmoja wa mods ameweka emoji ya kicheko kwenye moja ya quote.
Pole mtoa mada kwa yaliyokusibu. Kila la kheri kwenye safari yako ya USA Baby....
Wacha nimtaarifu Raisi wa wabeba boksi USA ajiandae kukupokea jimbo utalofikia....😄😄😄😄😄
Wakati muomba visa ya US ana henyahenya na hekaheka za kuoata VISA, wenye ubalozi wao na nchi yao wamekaa paleee wanakuchungulia....😂😂😂😂😂.
Tafadhali uje kutupa mrejesho ukifanikiwa kupata VISA ama hata wakikunyima. Uje utuelezee na utaratibu wa kule ndani na namna unahojiwa....🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Maana hadi mmoja wa mods ameweka emoji ya kicheko kwenye moja ya quote.
Pole mtoa mada kwa yaliyokusibu. Kila la kheri kwenye safari yako ya USA Baby....
Wacha nimtaarifu Raisi wa wabeba boksi USA ajiandae kukupokea jimbo utalofikia....😄😄😄😄😄
Wakati muomba visa ya US ana henyahenya na hekaheka za kuoata VISA, wenye ubalozi wao na nchi yao wamekaa paleee wanakuchungulia....😂😂😂😂😂.
Tafadhali uje kutupa mrejesho ukifanikiwa kupata VISA ama hata wakikunyima. Uje utuelezee na utaratibu wa kule ndani na namna unahojiwa....🤣🤣🤣🤣🤣🤣.