Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Tusipo shukulu kwa kidogo hata kikubwa hatutashukulu dealing with uneducated guy is a big problem do you know how much wasafi invested to harmo ?
 
Ukweli ni kwamba maisha ya Wasanii wa WCB ukimtoa Diamond ambao ni boss wao wengine wanaishi maisha mabaya Sana,kazi kweli wanafanya Sana lakini pesa ni Kama vile wanaenda kumtaftia Diamond na washirika wake.Mwaka juzi hamonize aliandaa shoo Mtwara kwa gharama zake lakini aliporudi dar pesa yote ilienda ofisini na badala yake yy na Vijana wake wakakaa wiki wanasubiri boss arudi apige hesabu kulingana na mkataba unavyoeleza ili yy agawiwe chake nayeawalipe Vijana wake
Ana uwezo wa kulipa deni la Mil 500 afu unatuaminisha ana maisha mabaya?!!
 
Kwani mikataba ya kazi alisaini mwenyewe au hakusaini? Umeshaona mikataba yake? Hivi kweli unaamini huwa habakiwi na kitu? Kama ingelikuwa kweli huwa hapati kitu sasa hivyo vitu alipata vipi na hao mabodigadi ana walipa vipi kama si matunda ya WCB?
Afu kuna mtu atakuja kutuaminisha huyo jamaa amefikiri kwa kutumia kichwa...
 
H
Huyo ni muandika upupu tu ili mradi awe na comments nyingi .
Hajaandika upupu,amecompare madai yenu kuwa boss Ruge alikuwa anawanyonya wasanii na yanayofanywa na wasafi yanatofauti gani?. Bora boss Ruge,ila wasafi wamezidi...500m plus gharama za nyimbo zake zote!!!!!! Plus return ambayo alikuwa ameshawaingizia,Hapo wamekomba chote walichowekeza plus faida zaidi, hakuna msaada.
 
Use.nge mtupu huu.chukua mfano wa mchezaji mkubwa wa timu kubwa.ananunuliwa kwa milioni 20 kutoka timu ndogo,then anapewa mkataba wa⅝ years kwenye hiyo timu ilomnunua,timu inampika akapikika,anakua mchezaji tishio baada ya kupikwa miaka3,mwaka unaofuata timu nyingine inamtamani wakati yy bado hajamaliza mkataba wake wa miaka5 pale alipopikwa akaiva,kuuvunja mkataba wake pale inabidi timu inayomtaka imnunue kwenye tim yake anayochezea kwa milioni hadi200 wakati wao walimnunua kwa milioni20 tu miaka mitatu ilopita,hapo wanafidia gharama zao walizotumia hadi kumfikisha hapo alipofika,kumuuza kwa bei ghali kunafidia pale walipotumia nguvu na uwezo wao kumpandisha na kutengeneza faida pia,hicho ndicho kilichotokea kwa hamo,nampongeza kwa kujitambua na kutaka kujisimamia,ila pia nitamsikitikia km atakua Amechukuliwa na mtu ili akasimamiwe na mtu tena kwa mara nyingine maana yy mwenyewe anauwezo wa kujisimamia na kuwalipa yy ma meneja wanaomsaidia,sio tena akasainishwe mkataba na matajiri wengine halaf wao matajir ndo wamlipe hamo ..hakyanani km ndo ivyo hatoweza kupata mafanikio makubwa.ila akiajiri yy mwenyewe mameneja na akawalipa (nadhani km ckosei ndivyo ilivyo)basi atafanikiwa,..All n' all wote hawa ni wakwetu,tuwatenge na kuwaponda na kuwatafutia mabaya ili waanguke,bali tuwasapoti kwa nguvu ili waendelee kutamba na kuleta heshima ya Tz nje ya mipaka
 
Umeongea pointi kali sana,watakaokuelewa wana akili sana
mtu alikuwa mmachinga kachuliwa, kapata jina,kaimba kapata jina...kahama label kadaiwa million 500 kalipa kabakia na hela ya kutembea na ulinzi kufungua mgahawa wa kulisha watu miezi 6...

Mtu huyu mnasema kanyonywa!mnasema wcb km clouds sawa mtaje msanii yeyote wa clouds alijenga jina km harmonise na kuachana na clouds akawa na pesa km harmonise?
 
Unaona mbali sana mkuu
Mtu yeyote akidili na Wasanii ataishia kulaumiwa tu.

Matarajio ya Wasanii huwa ni ya juu sana kuliko hali halisi, wengi wanaongozwa na hisia (assumptions), we sikiliza Wasanii wanaoanza wakihojiwa, zaidi utawasikia wakihojiwa TBC...wengi wanakazana kuonyesha kwamba wana uwezo mkubwa sana ila wanakosa support, kisha ukija kusikia anachoimba unabaki mdomo wazi...sasa ujitoe mhanga kumsaidia asipofikia hizo 'alinacha' zake lawama zote kwako.

Kumbuka hata yule Dogo wa Arusha wakati ule mpaka akawatungia nyimbo wa kuwalaumu walewale waliomtoa Arusha kumpeleka Dar wakijaribu kumsupport, baada ya kuona kila anachoota hakitokei....hakujua inahitajika subira badala yake wanaomlea wakageuka maadui wa sanaa yake.
 
Nimesoma huu uzi mpaka comment ya 30 lakini wote wanaochangia hawajui Kuandika; imebidi niishe hapo kusoma. Kiki nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama hujui terms za mikataba ya wasanii, ni bora ungekaa kimya tu usubiri wenye uelewa kuhusu hili waanzishe nyuzi... Kum-manage msanii sio kazi ndogo kama wengi wanavyofikiri, hasa ikiwa msanii bado mchanga kabisa. Hii migogoro ya mikataba kati ya msanii na management yake iko duniani kote...

Ndio maana pale WCB mtu yeyote anayetoka pale au hata fununu tu kuwa anataka kuachana na lebel, huwezi kukuta Diamond anaongelea popote, hajawahi kuzungumza lolote kuhusu Kifesi, Mwarabu fighter, Q boy, Rich Mavoko na hata huyu Harmonize wa juzi Diamond hatazungumza chochote... hujiulizi kwa nini anakaa kimya pamoja na watu wengi kutamani aseme neno?

Qboy alimzungumzia mkuu,alisema yule jamaa ajui kuimba na nyimbo anaandikiwa na lavalava,na wakiendaga ulaya jamaa anataka kuzamia.alimwambia wewe tuliahapa tuwetunaleta nguo za wasafi tuuze yeye akasema anataka kuimba,salam nayeye akadakia ujue sisi ni wafanya biashara na jamaa anatumia brand ya wasafi kwenye nyimbo zake tukawatunashangaa huyu jamaa vipi atuja msainisha kama msanii wa wcb mbona.

Hii kumzungumzia mtu inategemea kwenye media anaulizwa maswali gani?

Kwenye interview akienda hawamuilizi hayo maswali ila hao wengine ndio wanakuwa wakwanza kuulizwa wanajibu.na sio kwamba anakataa kuwazungumzia.
 
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata clouds.
Acha kuongea vitu visivyokuwepo wewe! Over the past 5 years, unaanzaje anzaje kumnyonya Diamond hadi akulalamikie?! Clouds aliwatuhumu kumnyonya au aliwatuhumu kumbania huku wao wakitaka vitu vya bwerere kama walivyokitaka kumchukua Harmonize akapige "charity" show!!

Halafu nyie watu bhana!!! Harmonize ambae miaka 4 tu iliyopita ungeweza kumtuma hata akufulie nguo akakubali lakini leo hii anaweza kumtuma graduate mzima ndo mnasema ananyonywa!!!! Harmonize ambae chini ya miaka 5 iliyopita alikuwa muuza chai lakini leo hii anauota ubunge ndo mnasema amenyonywa? Harmonize ambae miaka michache tu iliyopita hakuwa na sehemu ya maana ya kuishi lakini leo hii anauza nyumba mbili ndie mnasema amenyonywa!

Najua wengine mtasema ni kipaje ndicho kimemfikisha pale lakini ukweli ni ukwamba, huko mtaani kuna watu wana vipaji nyoko lakini hawana hata uhakika wa kesho! Ukifahamu hilo ndipo utakapogundua kwamba kwenye tasnia ya burudani kipaji kinachukua nafasi ya pili kwenye kufanikiwa lakini walio nyuma yako ndo kila kitu!!
 
Ukweli ni kwamba maisha ya Wasanii wa WCB ukimtoa Diamond ambao ni boss wao wengine wanaishi maisha mabaya Sana,kazi kweli wanafanya Sana lakini pesa ni Kama vile wanaenda kumtaftia Diamond na washirika wake.Mwaka juzi hamonize aliandaa shoo Mtwara kwa gharama zake lakini aliporudi dar pesa yote ilienda ofisini na badala yake yy na Vijana wake wakakaa wiki wanasubiri boss arudi apige hesabu kulingana na mkataba unavyoeleza ili yy agawiwe chake nayeawalipe Vijana wake
Mashabiki wengi wa wcb wanafikiri ukiea msanii unatakiwa uwe na jina kubwa wengi hawaangalii maslahi ya msanii yakoje na unapowaambia ukweli utashambuliwa vibaya mno ila ukweli ni kwamba wanaofaidi kule ni Diamond na wale managers kidogo kinachobaki ndio wanapewa hao madogo wengine na ni ngumu kutoka huko kutokana na masharti magumu ambayo yanalinda reputation ya kampuni, kama ni kuzuri kihivyo mwarabu fighter asingeondoka kwani yeye hapendi pesa, Rich mavoko asingeondoka kama kuna maslahi na Harmonize nae asingeondoka tatizo mashabiki hatuangalii yule mtu pale ana pata nin akiondoka tunamtupia maneno mabaya trust me Jux anapata pesa kuliko hata wakina Rayvanny hata harmonize kipindi yupo ila kwa jina amezidiwa na hao kina Rayvanny.
 
Ijumaa SAA mbili...

Biaa..
H

Hajaandika upupu,amecompare madai yenu kuwa boss Ruge alikuwa anawanyonya wasanii na yanayofanywa na wasafi yanatofauti gani?. Bora boss Ruge,ila wasafi wamezidi...500m plus gharama za nyimbo zake zote!!!!!! Plus return ambayo alikuwa ameshawaingizia,Hapo wamekomba chote walichowekeza plus faida zaidi, hakuna msaada.
Ndo maana ya kuvunja mkataba unashangaa nini mpaka mtu kajenga nyumba tatu halafu watu mnasema kanyonywa kivipi sasa?
kilichomtoa ni tamaa tu hakukuwa na sababu yoyote ya kutoka wcb
 
Uongozi wa wcb chini ya diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina chief mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata clouds.
Msanii rich mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na lava lava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.
Diamond c mtu mzuri, alimnyanyasa sana mwarabu fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije rayvany na mavoko.

Tubadilike jamani wcb
Mbona hujaonesha hiyo mikataba?
 
Uongozi wa wcb chini ya diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina chief mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata clouds.
Msanii rich mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na lava lava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.
Diamond c mtu mzuri, alimnyanyasa sana mwarabu fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije rayvany na mavoko.

Tubadilike jamani wcb
Zilonga mbali zitendwa mbali.....Kwa jinsi walivyokimbia kina Mwarabu Fighter , Rich na Harmonize kweli WCB sio kabisa.
 
HAKUNA ALIESHIKIWA BUNDUKI KUSAINI MKATABA, NDIO MAANA MKATABA HUWA NA PANDE MBILI ZENYE MAKUBALIANO CHANYA JUU YA KILE WANACHOENDA KUKISAINI PAMOJA NA MASHAHIDI WA PANDE ZOTE MBILI, TATIZO LIKO HPA, WAKATI MSANII NI UNDERGROUND FOCUS KUBWA NI KUTOK NA KUWA NA JINA, WENGI WAKO KTK TABAKA LA CHINI NA LISILO NA KIPATO, WENGI ELIMU DUNI JUU YA UELEWA WA MIKATABA, FOCUS KUBWA NI KUTOKA, KUWA NA JINA ALAFU BAADAE NDIO NITENGENEZE PESA, HII TRANSITION NDIO HUANZA KULETA MATATIZO, UELEWA WA MTU MWENYE AFYA NZURI YA AKILI HUBADILIKA NA KUWEZA KUCHAMBUA MAMBO KWA MAPANA NA NDIPO KIINI CHA MIGONGANO NA MISUGUANO HUANZA BAINA YA MSANII NA LEBO, BAADHI YA MATAKWA YANAKUWA MAGUMU KUTEKELEZEKA NA HAPO NDIPO MSUGUANO WA KUVUNJA AMA KUREKEBISH MKATABA HUANZA,BAHATI MBAYA SANA MKATABA NI SIRI, BAHATI MBAYA SANA HASARA MARA NYINGI HUWA KWA MSANII NA SI LEBO, BAHATI MBAYA SANA MASHABIKI HUMTIZAMA ALIEMTOA MSANII KTK VERY POSITIVE WAY (WITH FUCKING AND CONCLUSIVE ANSWER WITHNO RESEARCH OR PROOF) KUWA HANA MAKOSA YOYOTE, WASANII WENGI HAWAELEWEKI TENA KWA MASHABIKI, HAWAELEWEKI KWA JAMII NA NDIO HUPATA NEGATIVE IMAGE KUBWA SANA KTK KUJITOA AMA KUVUNJA MKATABA. LAITI MITIZAMO IBADILIKE JUU YA MASAKATA HAYA YA WASANII KUVUNJA MKATABA TASNIA ITAFIKA MBALI, ZAIDI MASHABIKI WENGI SIKU HIZI WANAPENDA SANA LEBO KULIKO UHALISIA WA MZIKI, WANAPENDA SANA LEBO KULIKO WANAMUZIKI, AS LONG AS MSANII YUKO KTK LEBO FULANI BASI YEYE ATAMSHABIKIA ILA AKITOKA MZIKI WAKE HATOFATILIA, HUU NI UNAFIKI NA UZANDIKI WA HLI YA JUU KWA VIJANA WA KISASA, YUKO WAPI BARAKA, MAVOKO, BELLA ENOCK, MENGI YANATOKEA KAMA FUNZI STILL WATU HAWAZINGATII, SOKO LA MUZIKI WA BONGO LIMEJAA UNAFIKI, FITINA, NA MAJUNGU YASIYO NA MSINGI NDIO MAANA KUTOBOA KUNAKUWA KUGUMU, ATLEAST MIAKA INGERUDI NYUMA ULE MZIKI WA BONGOFLEVA WA MIAKA YA 1996-2007 INGEWEKZWA VEMA LEO HII TUNGESHAKUWA NA GRAMMY KWA WASANII ZAIDI YA 20, ILA KWA SABABU MZIKI UMEKASIMIWA NA MAJUHA WENGI, NA MASHABIKI MAANDAZI WALIO JAA MAHABA KAMA KAHABA NA GUEST, BASI NYEUSI ITASEMWA NYEUPE NA NYEUPE ITASEMWA NYEUSI, HYWEZI LETA USHINDANI IKIWA MTARUHUSU WALIO JUU WAWE WACHACHE, LEO HII KILA MSANII AKITOKA PARAMETEE OF MEASUREMENTS NI ALI NA MOND, MEN C'MON MOND IS HERE ON MUSIC FOR 10 YEARS, ALI IS THERE OF 14 YEARS WHAT THE **** ARE YOU COMPARING A NEWBIE WITH LEGENDS, GIVE THE NEWBIES TIME AND WINGS TO FLY SO THEY GIVE OUT THEIR TALENT TO THE WORLD, ENJOYING THE WORLD AND THEIR TALENTS GIVEN BY GOD, BUT INAKUWA KINYUME KWA BONGO, MAJUNGU MAJUNGU KWA SANAAAAA, NCHI INA WATU ZAIDI YA MIL.6O UNA LEBO SIJUI MBILI SIJUI TATU, IKIJARIBIWA KUUNDWA LEBO NYINGINE INAANZA FITINA NA NONGWA ?? HUU SI NDII UCHAWI WA KIJERUMANI KABISAA?? YAANI MASHABIKI HAWATAKI LEBO ZIONGEZEKE, ZIKIANZA ZINAANZA KUSHINDANISHWA NA LEBO KONGWE AS IF HIZI MPYA ZILIKUWEPO. THIS IS F***STUPIDITY KWA MASHABIKI WA MUZIKI WA BONGO FLEVA, WENGINE WAMO HUMU JF WAFIKISHIENI TAARIFA MASHABIKI NA WENGINE WENYE DHAMAN YA HUU MZIKI, KUFIKIA LEVO ZA NIGERIA NI NGUMU KAMA KANGAROO KUZAA WATOTO WAWILI WAKATI ANA MFUKO MMOJA WA KUHIFADHIA MTOTO MMOJA. MASHABIKI, BIFU ZA KISENGE, CHUKI BURE NA UNAFIKI UNAUA TASNIA YA BONGO, BUREEEE KABISAA KWA WANAOFANYA HIZI MAMBO TENA WENGINE WANA DHAMANA KABISA YA HUU MZIKI, KUMUUA MSANII MMOJA ILI MMPANDISHE MWINGINE HAIKUZI MZIKI ILA INABOMOA KABISA, KUUA LEBO MOJA ILI IBAKI MOJA HAIKUZI MZIKI ILA INAZIDI KUFANYA WALIO MTAANI WENYE VIPAJI WASIPATE PLATFORM, KUANZISHA MEDIA MOJA ILI UUE MEDIA NYINGINE ILIYOPO HAIKUZI MZIKI INAJENGA MONOPOLY MPYA ITAKUWA NA MAKUCHA SAWA NA ILE MEDIA BEPARI YA ZAMANI, NA ZAIDI AKIFKIA LEVEL YA SELF ACTUALIZATION NDIPO HAKUNA RANGI WASANII WATAACHA KUIONA SO THE CIRCLE CONTINUES TILL THE END UNTIL WATAKAPOAMUA KUTOKA KTK HII CIRCLE THEN THE BONGO AND FLEVA SHALL PROPELL TO THE WOLRD.

Mkuu samahani sana kama ntakukosea ila naomba urudi shule kujifunza kanuni za uandishi na matumizi ya herufi kubwa na ndogo, kiukweli bandiko lako au mawazo yako sijayasoma yanaweza kuwa mazuri ila huandishi ni mbovu sana hauvutii yani nizaidi ya uchafu.

Hakuna space, vituo, mtiririko wa mawazo narudia jitathimini afu jipige kifuani mara tatu sema mimi ni mjinga sijaitendea haki pesa ya mzazi wangu
 
Back
Top Bottom