Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Watanzania ifike kipindi tujitambue!nani ananyonywa?kwa sabb ili uingie wsf lazima usome mikataba sina uhakika sana unapo soma sijui unakua umelewa au mzima.homonize watu walimukataa domo akamtengeneza akawa hamonize akavuna pesa za kutosha akajenga majumba akawa maarufu africa nzima kwa sasa hamo hata angeuza kila kitu,bado anafaida kubwa ya jina ambalo limetengenezwa na wsf l.t.d sasa shida nini watanzania tunafeli wapi?unadhani nu rahisi kiasi gani kumutengeneza mtu awe mkubwa ivi mnajua gharama ilizo tumia wsf kumutengeneza m.500 bado ni ndogo sana....
 
Watu hawajui kua wsf iliwekeza pesa nyingi kumutengeneza hamo ni udogo wa fikira.
Clouds hakuwahi wasainisha wasanii mikataba na kuivunja ulipe 500mil
WCB walichofanya ni kuchukua gharama zao. Na waliweka hela nyingi ili mtu asitoke kirahisi
 
Domo anajua kila kitu kipo kisheria na yy sio msemaji yupo vizuri sana.
Kama hujui terms za mikataba ya wasanii, ni bora ungekaa kimya tu usubiri wenye uelewa kuhusu hili waanzishe nyuzi... Kum-manage msanii sio kazi ndogo kama wengi wanavyofikiri, hasa ikiwa msanii bado mchanga kabisa. Hii migogoro ya mikataba kati ya msanii na management yake iko duniani kote...

Ndio maana pale WCB mtu yeyote anayetoka pale au hata fununu tu kuwa anataka kuachana na lebel, huwezi kukuta Diamond anaongelea popote, hajawahi kuzungumza lolote kuhusu Kifesi, Mwarabu fighter, Q boy, Rich Mavoko na hata huyu Harmonize wa juzi Diamond hatazungumza chochote... hujiulizi kwa nini anakaa kimya pamoja na watu wengi kutamani aseme neno?
 
Ni nani kati yetu hapa ambae leo hii WCB wakikufata wakakuambia tunakufanya uwe level za Harmonize ila ukivunja mkataba utalipa 500m. Nani atakataa..?? Nakuambia watu watavunjana miguu kukimbilia hiyo ofa
 
Ni nani kati yetu hapa ambae leo hii WCB wakikufata wakakuambia tunakufanya uwe level za Harmonize ila ukivunja mkataba utalipa 500m. Nani atakataa..?? Nakuambia watu watavunjana miguu kukimbilia hiyo ofa
Mabeberu huwa wanatumia udhaifu kunyonya watu, pia WCB wanatumia umasikini na elimu ndogo kuwanyonya wasanii wake. Ni kama tu tulivofanyiwa na wakoloni au kama mabeberubkila siku wanavotusainisha mikataba ya kutunyonya richmond etc, bandari ya bagamoyo
 
Wacha fikra za kijamajaa. Biashara ni mikataba, wewe Kama unataka tafuta mwanasheria wako wakati wa kuweka mikataba
Uongozi wa WCB chini ya Diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina Chief Mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.

Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata Clouds.

Msanii Rich Mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, Hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na Lavalava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.

Diamond si mtu mzuri, alimnyanyasa sana Mwarabu Fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije Rayvanny na Mavoko.

Tubadilike jamani WCB
 
Wacha fikra za kijamajaa. Biashara ni mikataba, wewe Kama unataka tafuta mwanasheria wako wakati wa kuweka mikataba
Usifanye kuwa na mkataba ndo uhalali wa kumnyonya mtu, unaweza kuandika mkataba wa kinyonyaji let say umeajiri house girl ukamuandikisha mkataba wa kumlipa mia 5 kila mwezi ila msosi unampa, there is a contract but not fair one
 
Mabeberu huwa wanatumia udhaifu kunyonya watu, pia WCB wanatumia umasikini na elimu ndogo kuwanyonya wasanii wake. Ni kama tu tulivofanyiwa na wakoloni au kama mabeberubkila siku wanavotusainisha mikataba ya kutunyonya richmond etc, bandari ya bagamoyo
Labda mkuu ungetupa mfano wa taasisi/kampuni/mtu/serikali duniani ambayo kile inachopata inakigawa sawa kwa sawa kwa wafanyakazi wote. Na bado hata ukifanya hivyo kuna watu watalalamika kwamba wanafanya kazi kuliko wenzao hivyo wataona wananyonywa. Ili mkataba usiwe wa kinyonyaji unatakiwa uwe vipi?
 
Clouds hakuwahi wasainisha wasanii mikataba na kuivunja ulipe 500mil
WCB walichofanya ni kuchukua gharama zao. Na waliweka hela nyingi ili mtu asitoke kirahisi
Hizo ni zidi ya gharama kumbuka pia walipata faida kupitia nyimbo na show za msanii huyo huyo
 
Nimeona somewhere Diamond ni kama ana party anacheza wimbo wa Harmonize, nikakumbuka hii post, nikajisemea moyoni ,, kijamaa kipo kuzitafuna zile 500m za Harmo"
 
Ukweli ni kwamba maisha ya Wasanii wa WCB ukimtoa Diamond ambao ni boss wao wengine wanaishi maisha mabaya Sana,kazi kweli wanafanya Sana lakini pesa ni Kama vile wanaenda kumtaftia Diamond na washirika wake.Mwaka juzi hamonize aliandaa shoo Mtwara kwa gharama zake lakini aliporudi dar pesa yote ilienda ofisini na badala yake yy na Vijana wake wakakaa wiki wanasubiri boss arudi apige hesabu kulingana na mkataba unavyoeleza ili yy agawiwe chake nayeawalipe Vijana wake
duh! sawa Sarah harmonize tumekuelewa.
 
mtu alikuwa mmachinga kachuliwa, kapata jina,kaimba kapata jina...kahama label kadaiwa million 500 kalipa kabakia na hela ya kutembea na ulinzi kufungua mgahawa wa kulisha watu miezi 6...

Mtu huyu mnasema kanyonywa!mnasema wcb km clouds sawa mtaje msanii yeyote wa clouds alijenga jina km harmonise na kuachana na clouds akawa na pesa km harmonise?
Diamond huyu ni mmoja kati ya wasanii ambao clouds walitumia nguvu nyingi sana kumpromote na kumeweka kwenye ramani na jamaa alifanya vizuri baadae wakazinguana jamaa akaendelea na maisha yake mengine
 
Back
Top Bottom