Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Hii kitu mbona ilikujaga kwa kasi sana enzi hizo nikiwa primary bado kinda kisha ndani ya muda mfupi ikapotea na tukaambiwa imepigwa marufuku. Tena kweli hata yule msambazaji kontena lake lilibebwa na chupa zake mpaka leo ukienda nyuma ya halmashauri unalikuta limeingia kutu na chupa zake vilevile. Tangu kipindi hicho sijawahi kuiona wala kusikia tena hii pombe ndo leo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ufanyike utafiti hapa JF kujua kwa nini vijana wengi wanywa banana hawaoi.
Wataga wanawake wote wanaoishi Arusha.
 
Pombe yetu imefungiwa umeridhika Sasa?
Ni bora kuokoa nguvu kazi ya taifa letu., mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atakuwa amepita humu na kusoma hii taarifa maana hii pombe sio kabisa, wanywaji wake wamevimba mashavu.
 
Ni bora kuokoa nguvu kazi ya taifa letu., mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atakuwa amepita humu
Arusha tutakua na maombolezo ya siku mbili kwaajili ya msiba huu mzito tutakunywa banana zote zilizo bar za mjini na vitongoji vya karibu
 
Arusha tutakua na maombolezo ya siku mbili kwaajili ya msiba huu mzito tutakunywa banana zote zilizo bar za mjini na vitongoji vya karibu
Uzuri ni. Kuwa hakuna hata Bar moja wanaweka banana kutokana na kuwa ni pombe ya hovyo na pia hazina viwango Bali hizo utazikuta kwenye maduka ya mangi. Na grocery za mtaani na vilabu vya pombe za kienyeji
 
Wala usiongee kwa kificho ni kweli haswaaa na ndo maana ndoa ROMBO,MARANGU,SIHA, zimekuwa na malumbano makubwa sana sana
 
Back
Top Bottom