Arusha tutakua na maombolezo ya siku mbili kwaajili ya msiba huu mzito tutakunywa banana zote zilizo bar za mjini na vitongoji vya karibuNi bora kuokoa nguvu kazi ya taifa letu., mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atakuwa amepita humu
Uzuri ni. Kuwa hakuna hata Bar moja wanaweka banana kutokana na kuwa ni pombe ya hovyo na pia hazina viwango Bali hizo utazikuta kwenye maduka ya mangi. Na grocery za mtaani na vilabu vya pombe za kienyejiArusha tutakua na maombolezo ya siku mbili kwaajili ya msiba huu mzito tutakunywa banana zote zilizo bar za mjini na vitongoji vya karibu