Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Pombe fake zimejaa sana mitaani
 
Kila mtu atakufa kwa tamaa yake mwenyewe. Hakuna tamaa nzuri zote mbaya
 
Sahihi kabisa
 
Alafu wakifa wanasema pombe..kuna hizi mboga mboga na matunda zina full pesticides, sema watu hawaoni hilo, hanywi pombe but kila siku anakula mboga za majani na matunda.
Maisha ya sikuhizi hatari sana. Unasema ule matunda pekee, nayo mbegu zilizotumika ndio hizo za kisasa. Kuna siku nilinunua tikitimaji linaonekana limeiva vizuri tu, lakini halikuwa na ladha ya utamu uliozoeleka wa tikiti. Lipolipo tu kama nilikuwa nakula karatasi, nikaishia kulitupa lote!
 
Unatakataasisii ya jk
Walipwe nanani mshaharaaaa??
 
Umejuaje pombe ndio chanzo?

Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara
Hospital ndo walisema hivyo ,manake alifikia hatua anakunywa pombe za kienyeji,smart gin, Serengeti lite etc yeye hachagui na kazi aliyokuwa nayo ni nzuri tu yenye kumfanya awe mlevi
 
Yani wanachanganya pombe zenye ingredients tofauti kama vile wako maabara aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…