Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Pombe fake zimejaa sana mitaaniDaa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.
Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Una report kutok mkoa gan?!Ikishaitwa KUPINDUKIA hakuna mwingine wa kumlaumu zaidi ya yule ALIYEPINDUKIA.
Siku hizi kijana asiyekunywa pombe ndo mshamba et mjanja ni anayekunywa pombe. Ujinga kabisa
Unajua maana ya immiscible liquids?Kuna jamaa tumekaa nae kaunta.....akaanza na nusulita maji kilimanjaro, then konyagi kischana, zikafuata kilimanjaro kubwa 3...naondoka namuacha anaendelea na Drostdy Hof red ile chupa kubwa.
Huo mchanyiko ni Immiscible liquids, hatari sana.
Hakunaga bia fekiTatzo Bia nyingi n fake
Kila mtu atakufa kwa tamaa yake mwenyewe. Hakuna tamaa nzuri zote mbayaMimi nilishaapa, nyapu ndio itaniua sio ujinga mwingine wowote.
Na nikifia kwenye nyapu ni sawa na nzi kufikia kwenye kidonda, ni raha mustarehe.
Mwanaume kufia kwenye eneo la vita you die with dignity.
Mwanaume unauawaje na pombe kama sio utaahira? Mimi hayo madude yakishindwa kazi yashindwe kwa sababu zao wenyewe ila sio kwa sababu ya pombe.
Sahihi kabisaKutokunywa maji lita 3 itoe hapo. Hakuna sehemu unatakiwa unywe maji kiasi hicho. Mwili una respond wenyewe unapokuwa na kiu. Unapokuwa na kiu kunywa maji.
Kunywa maji mengi ni kuzichosha figo vile vile na maji yanaondoa mwilini nutrients zingine kama Calciums.
Kunywa maji pale mwili unaporespond uhaba wa maji mwilini kwa kuhisi kiu tu.
Maisha ya sikuhizi hatari sana. Unasema ule matunda pekee, nayo mbegu zilizotumika ndio hizo za kisasa. Kuna siku nilinunua tikitimaji linaonekana limeiva vizuri tu, lakini halikuwa na ladha ya utamu uliozoeleka wa tikiti. Lipolipo tu kama nilikuwa nakula karatasi, nikaishia kulitupa lote!Alafu wakifa wanasema pombe..kuna hizi mboga mboga na matunda zina full pesticides, sema watu hawaoni hilo, hanywi pombe but kila siku anakula mboga za majani na matunda.
Kuchataka Nyapu sio tamaa. Hii ni kitu ya asili wanaume tulipewa tuchakate.Kila mtu atakufa kwa tamaa yake mwenyewe. Hakuna tamaa nzuri zote mbaya
Daa kweli kbsa aisee ,huwa wanajisahau sanaPombe mwenzie ni chakula, unalewaje na njaa?.
Wakiona unaagiza maji wanakuchekaIkishaitwa KUPINDUKIA hakuna mwingine wa kumlaumu zaidi ya yule ALIYEPINDUKIA.
Siku hizi kijana asiyekunywa pombe ndo mshamba et mjanja ni anayekunywa pombe. Ujinga kabisa
Unatakataasisii ya jkDaa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.
Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Hospital ndo walisema hivyo ,manake alifikia hatua anakunywa pombe za kienyeji,smart gin, Serengeti lite etc yeye hachagui na kazi aliyokuwa nayo ni nzuri tu yenye kumfanya awe mleviUmejuaje pombe ndio chanzo?
Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara
Daa ***** kwa huu mwendo watatumalizia vijana wetuPombe zenyewee ss utengenezaji wakee nyingi cku hzi zinatengenezwaa magetonii.View attachment 2861917View attachment 2861918View attachment 2861919
[emoji16][emoji16][emoji16]Smart GIN nusu 1000, anaimudu hata mtoto wa Darasa la sita.
Yani wanachanganya pombe zenye ingredients tofauti kama vile wako maabara aiseeSio figo tu ,na maini pia watu wanateketea sana
Mnaona sifa kunywa pombe kali ,tena unakuta mazoba flani yanachanganya hivyo vivywaji kabisa bila kujua side effects ya kuchanga ya contents za vinywaji vyenye chemical ingredients tofauti tofauti ni kutengeneza sumu na kuoverload figo na maini
Sijui huu ulimbukeni na ushenzi watanzania walijitokeza wapi .
Pombe ya aina yoyote ni hatari kwa afya yako
Sahihi kbsaPombe chafu ndio tatzo mkuu