Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Tatizo umeweka umuhimu sana kwenye maisha ya watu..[emoji1787]
Zero IQ wew ,soma content na uelewe bastard wew ,inamaana ukisikitika kumpoteza mtu ndo umeweka umuhimu kwake? Kuwa makini nisije kukufanyia rimming
 
Wamekuja kuitengeneza heading
Aisee huu ni uzwazwa wa JF,
Ilivyokuwa mwanzo ndio inavutia watu kuingia, sasa imegeuka gazeti la afya...wote wanakula kona...
Wanajikuta wao ndo wanajua kuseti heading
 
Mimi nawashangaa sana hawa wanaoweka idadi ya lita za maji .

Jitu linakunywa maji lita 5 linakojoa muda wote mkojo mweupe alafu anajisifia wakati anachosha figo.
Average mwanadamu wa kawaida asiye na shughuli za kumtoa maji mengi na anayekaa mazingira ya hali ya hewa ya wastani lita 2 za maji zinamtosha.
Izo lita 5 ni kwa athletes sababu wanapoteza maji mengi.
 
Watanzania wengi hukariri ndo maana hata dawa wamekaririshwa kutwa mara 3 ila ukizisoma dawa ni kwamba wataliwa unywe kwa mtengano wa masaa 6 na mwisho vidonge 8

Dawa za minyoo watu hutumia mara moja ila kwa uhalisia ukisoma ni kuwa watakiwa utumie angalau kwa wiki nzima ili uweze ua minyoo aina zote
 
Kuna watu hawajawahi patwa na magojwa ya gono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…