Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Kwenda zako
 
Zamani walikuwa wanakunywa pombe za kienyeji zilizotengenezwa kwa mahindi, mtama, au ulezi, ambazo zilikuwa kama chakula.

Kiukweli ukinywa pombe za kisasa kwa muda mrefu lazima utapata shida kama siyo figo, basi kisukari!
 
Fikiria unatunza ini lako weeeee,huku ukinywa vinywaji laini laini ila mwisho unagongwa na treni....what a waste.
Au unamuhimiza bodaboda akimbie uwahi job, anakuingiza kwenye tairi ya Fuso.
Afadhali ufe kwa ajali kwa maana hautakuwa umegharamika kwa matibabu. Wakati unauguza figo hata kupata usingizi ni shida. Muda unaotumika kuutibu huo ugonjwa through dialysis pia ni mwingi.

Epukeni ujinga
 
Afadhali ufe kwa ajali kwa maana hautakuwa umegharamika kwa matibabu. Wakati unauguza figo hata kupata usingizi ni shida. Muda unaotumika kuutibu huo ugonjwa through dialysis pia ni mwingi.

Epukeni ujinga
Na ni expensivie sana hizo dialysis services , ni familia ngapi au watu wangapi wenye uwezo wa kugharamia hiyo dialysis ambayo ni pesa ndefu kwa mwezi ?
Watu hawatumii akili kabisa
Watu wanatengeneza vifo vyao wenyewe ,ni ujinga
 
Na ni expensivie sana hizo dialysis services , ni familia ngapi au watu wangapi wenye uwezo wa kugharamia hiyo dialysis ambayo ni pesa ndefu kwa mwezi ?
Watu hawatumii akili kabisa
Watu wanatengeneza vifo vyao wenyewe ,ni ujinga
Stupidity is like a disease. Someone thinks kutibu ugongwa wa figo ni sawa na kutibu homa
 
Wakuu kiufupi kwa maisha ya sasa hatuwezi kutoboa,,,,, haijalishi wewe ni mnywaji pombe ama la

Kuna visababishi vingi Sana vya magonjwa yasiyoambukizwa hususan figo, ini nk.

1. Pombe
Hii itabaki kuwa ni sababu mojawapo kutokana na unywaji holela, pombe Kali kuuzwa bei rahisi, pombe feki nk

2. Matunda
Wengi wetu tunaamini tupo salama Sana kula matunda, ila kiukwel ni hatar Sana
Matunda yanatokana na mbegu za maabara (GMO) sio Yale matunda ya asili tena

Mbolea za sumu ndo zinatumika kuyakuza, dawa za sumu za kuua wadudu kipindi cha ukuaji, dawa ambazo zinapigwa Hadi siku ya mavuno na tunazibugiza vyakutosha

3. Mboga za majani
Kama ilivyo kwa matunda, mkulima anapiga dawa usiku asubuhi zinavunwa zinapelekwa sokoni dawa ambayo ilibidi ipigwe siku tatu kabla ya kuvuna

4. Vinywaji baridi (carbonated drinks)na energies
Vinywaji hivi vina kiwango kikubwa cha sukari na sumu (preservatives) na vimekuwa ni sehemu ya kawaida ya milo yetu kila siku

5. Kutokufanya mazoezi
Katika Hali ya kawaida mazoezi ni muhimu kwa afya, pata picha mtu anatumia vitu vyote hapo juu ( 1 Hadi 4) halaf hafanyi mazoezi

6. Matumizi holela ya madawa
Pharmacy wanauza dawa hovyo hovyo ni wewe Tu kwenda na hela yako unapata dawa yeyote unayoitaka na kutumia unavyotaka wewe
Watu wanatumia madawa bila kupima, bila ya maelekezo ya daktari, bila ya kufuata mtiririko wa dozi, bila kumaliza dozi, kuchangia dawa,,,, dawa inanunuliwa inatumiwa na familia nzima kila mtu kwa wakati wake

YOYE HAYO UKICHANGANYA KWA PAMOJA UNATEGEMEA NINI HAPO?
 
AZUMA ni dawa za nini??

Maana kuna madam nilimsikia anaonbgea na simu anatamka dr kampa hiyo azuma azuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…