Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tulionya mapema sana kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu lakini tulipuuzwa .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ccm waoga ka digi digi ..kwn hicho kuwanja ni mali ya ccm?
Kwamba kabla ya Gambo Arusha haikuwa na viwanja ?Changamoto itakuwa Arusha maana vile viwanja vyote upinzani wanapokusanyikaga Gambo kavijenga..
View attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Yaani ni kama Arusha 2015 maeneo yote ya wazi yalibadilishiwa matumizi. Hivi sasa Arusha jiji hakuna eneo la wazi. Kisa Chadema.View attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Kabla ya kuliwa kichwa "Popote kambi"Changamoto itakuwa Arusha maana vile viwanja vyote upinzani wanapokusanyikaga Gambo kavijenga..
Soweto imejengwa na Gambo?Changamoto itakuwa Arusha maana vile viwanja vyote upinzani wanapokusanyikaga Gambo kavijenga..
Tupo hapa NMC RELINI moto unawakaChangamoto itakuwa Arusha maana vile viwanja vyote upinzani wanapokusanyikaga Gambo kavijenga..
Tii sheria bila shuruti mdogo wanguHilo ango ni la kihuni kwanini lisimikwe Usiku
Ng'oeni bango watu watafute uhuru wao kutoka katika huu utawala wa mkoloni mweusi
Kavijenga kwa hela ya nani ? Kwenye ardhi ya nani ? Kwani yeye nani?Changamoto itakuwa Arusha maana vile viwanja vyote upinzani wanapokusanyikaga Gambo kavijenga..
Nyerere angetii sheria za mkoloni bila shuruti sijui angeishia kuwa tarishiTii sheria bila shuruti mdogo wangu
Ndio mjue kuwa watu hawawapendi na mmechokwa. Watu hawali ndege au madaraja.Kawaida kiwanja chochote kabla kutumia unatakiwa kuomba kibali Cha mwenye kiwanja Sasa mfano mimi Nina kiwanja changu chamazi Cha AZam ukiambiwa ujaze utakapofanyia mkutano wako utajazaje jina la kiwanja changu Wakati hujawasiliana nami?
Na kwa kuwa Ni changu Nina Uhuru wa kubadili matumizi Wakati wowote
Sheria ya ardhi inahusika huwezi ingia eneo la mtu bila ridhaa yake ndio maana viwanja huombwa vibali kwa wenye navyo kuvitumia hujiingilii tuHilo ango ni la kihuni kwanini lisimikwe Usiku
Ng'oeni bango watu watafute uhuru wao kutoka katika huu utawala wa mkoloni mweusi