Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu