KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sindano imewadunga watu wengi sana...... wengine wamekufa kimya kimya🤣🤣🤣🤣 huo haukuwa uongo, niamini mimi.
shida ni sentensi tata!,alitakiwa amalizie friend with benefit!..😅🤣🤣🤣🤣 huo haukuwa uongo, niamini mimi.
Dah!!He's just a friend.
Nilikuja kugundua too late, ikiwa lishanikuta jambo🙆♀️🙆♀️🙆♀️Nakuibia siri......
Katika watu ambao hutakiwi kuwaamini wakiwa Wana tongoza ni wapare.......
View attachment 3105386
Amini nakwambia....... huwezi kubeba mua kama fimboshida ni sentensi tata!,alitakiwa amalizie friend with benefit!..😅
Duh!!!Nilikuja kugundua too late, ikiwa lishanikuta jambo🙆♀️🙆♀️🙆♀️
🤣🤣🤣🤣 hapanaaa, he is just a friend bwana.shida ni sentensi tata!,alitakiwa amalizie friend with benefit!..😅
nyamnyam friend.. never..😂🤣🤣🤣🤣 hapanaaa, he is just a friend bwana.
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo sindano imewadunga watu wengi sana...... wengine wamekufa kimya kimya
View attachment 3105387
Muwe na imani jamani, they are just friends🤣nyamnyam friend.. never..😂
mpk mtu atolewe uhai ndo tutaelewana!Muwe na imani jamani, they are just friends🤣
Kisa kama cha ndugu yangu mmoja hivi.Habari wakuuu,
Kama tunavyojua kwenye harakati au maisha ya kimapenzi tunakutana na misuko suko ya hapa na pale, misuko suko ambayo inatufanya tuyachukie mapenzi au mahusiano.
Moja ya mambo yaliyoshamiri kwenye ndoa na mahusiano ya nyakati hizi ni UONGO uliokithiri.
Mimi binafsi niliwahi kuongopewa ujauzito na binti mmoja miaka ya nyuma kwa kuwa tulikuwa tukiishi mikoa tofauti na nilikuwa namuamini sikumtilia shaka.
Pia soma: Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?
Nililea mimba mpaka miezi mitano ndipo dada yake alipokuja kuniambia baada ya kuwa na yeye alikuwa anakereka na jambo alilokuwa akinifanyia mdogo wake, baadae alikuja kukiri na kuniomba msamaha, Sikumsamehe.
Rafiki yangu na yeye ilimkuta kwa binti mmoja wa Kihehe mpaka mimba ikazaliwa baadae akasema mtoto amekufa.
Je, wewe ndugu uliwahi kukutana na uongo upi kwenye ulimwengu wetu wa mapenzi?
Niseme kile ulichonidanganya?Haya sasa, mapenzi na viroja vyake.
Mzee mwanzangu sasa hapo tunachomeana utambi😀😀😀umeharibu kila kitu.Nakuibia siri......
Katika watu ambao hutakiwi kuwaamini wakiwa Wana tongoza ni wapare.......
View attachment 3105386
Wanzinzi weng ndo chaka lao.He's just a friend.
Dah!!Mzee mwanzangu sasa hapo tunachomeana utambi😀😀😀umeharibu kila kitu.
Hicho kichaka kimeficha watu wengi sana wa upande wa pili.....Wanzinzi weng ndo chaka lao.