Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Mimi ni honest man babeGenius Man babe unakumbuka ulivyonidanganya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni honest man babeGenius Man babe unakumbuka ulivyonidanganya?
😔😔Mimi ni honest man babe
Vipi tena babe
Kumsamehe msaliti ni sawa na kujivua nguo...... hata huyo uliyemsamehe anakudharau.....Mimi sijawahi kuongopewa,mimi ndio huwa nawaingiza mkenge (joking)
KikulachoChako nimependa sana kwa kutomsamehe huyo Mwanamke,
Siku zote huwa nasema humu,msaliti hasamehewi hata siku moja,
Some people cheat multiple times after having been forgiven,forgive someone for cheating can be interpreted as acceptance of infidelity,some people may take advantage of that.
Hata sikumbuki bana yy kunidanganya ila mm ndo nilimdanganya sana...Tuambie bhana
Ulimdanganyaje 😂😂Hata sikumbuki bana yy kunidanganya ila mm ndo nilimdanganya sana...
Pole mweee...😃😃😃kile kidada kiongo sana kiliniambia siku aliyozaliwa vile alivyokuwa analia ati alikuwa ananililia mimi!!..
sasahivi mimi ndo nalia sasa walimwengu sio watu wanakuhadaa halafu wanakuja kukuacha solemba!.
hadi naona aibu..😅Pole mweee...😃😃😃
🤣🤣🤣🤣 mie sijawahi danganya, itakuwa tu ulininukuu vibaya!Niseme kile ulichonidanganya?
Kwenye masuala ya uongo hakuna aliyebakia salama....🤣🤣🤣Hata sikumbuki bana yy kunidanganya ila mm ndo nilimdanganya sana...
Umenipa lawama kwa ndugu yangu....nimekuuzia silaha za kivita🤣🤣🤣🤣 mie sijawahi danganya, itakuwa tu ulininukuu vibaya!
Hiyo kesi ndogo sana, mnunulie tu ka k.vant kadogo. Kesi kwisha.Umenipa lawama kwa ndugu yangu....nimekuuzia silaha za kivita
Hahahaa,huyo kamaliza uongo wote humuAlipozaliwa alikuwa anamlilia nani....?
Nimechekaaaa kisela
Me nilicheka hadi nimeangusha simu imepasuka kioo kidogoHahahaa,huyo kamaliza uongo wote humu