Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Hiyo kesi ndogo sana, mnunulie tu ka k.vant kadogo. Kesi kwisha.
Baaaaasi......
Kama umeshajua pasiwedi zake amekwishaaaaaaa
1002269670.jpg
 
Mimi alinimbia eti kuna ndugu yake wakike kasex siku za kushika mimba.
So anampa simu nichat nae, nimshauri atumie p2 au lah.

Sema mimi from the beginning nilijua ni uongo, nikaamua to play with it.
 
Habari wakuuu,

Kama tunavyojua kwenye harakati au maisha ya kimapenzi tunakutana na misuko suko ya hapa na pale, misuko suko ambayo inatufanya tuyachukie mapenzi au mahusiano.

Moja ya mambo yaliyoshamiri kwenye ndoa na mahusiano ya nyakati hizi ni UONGO uliokithiri.

Mimi binafsi niliwahi kuongopewa ujauzito na binti mmoja miaka ya nyuma kwa kuwa tulikuwa tukiishi mikoa tofauti na nilikuwa namuamini sikumtilia shaka.

Pia soma: Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Nililea mimba mpaka miezi mitano ndipo dada yake alipokuja kuniambia baada ya kuwa na yeye alikuwa anakereka na jambo alilokuwa akinifanyia mdogo wake, baadae alikuja kukiri na kuniomba msamaha, Sikumsamehe.

Rafiki yangu na yeye ilimkuta kwa binti mmoja wa Kihehe mpaka mimba ikazaliwa baadae akasema mtoto amekufa.

Je, wewe ndugu uliwahi kukutana na uongo upi kwenye ulimwengu wetu wa mapenzi?
Niliwahi kudanganywa na binti mmoja enzi hizo kwamba ni bikra hajawahi kuguswa na dudu kojo
Na akawa anadai hawezi kukubali kunipa unyevu mpaka siku Ya ndoa... Ila kama ujuavyo hakunaga mkate mgumu mbele ya Chai ya maziwa siku ikafika akaingia kwenye 18 nikamvua chupi nikaingiza ikazama yote bila kugusa hata ukuta!
Eti baada ya mechi anajitetea eti aliwahi kuguswa mara moja tu zamani halafu aliyemgusa hakuingiza yote aligusa kwa kichwa tu!!!
Pumbaff kabisa huyu demu Yaani alinidanganya kwa kunionaje mimi? Mbaya zaidi nilipozunguka huko kwenye banda la uani nikakuta walishang'oa komeo kabisa Yaani ukienda unapitiliza ndani
 
Back
Top Bottom