Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Kisa kama cha ndugu yangu mmoja hivi.

Sema yeye alilea ile Mimba mpaka Binti akaja kujifungua na alipotangaziwa kuwa nina mimba yako walianza kuishi kama Mme na Mke.

Jamaa alipata shida na ile mimba na kwa sehemu ilimcheleweshea harakati zake nyingi sana za utafutaji.

Baada ya kujifungua kuna siku anamkuta mzee mtu mzima na mkewe wako chocho, ndo binti anafunguka hii mimba nilikubambikizia tu. Dah!

Jamaa alifanya mapenzi na binti mimba ikiwa na wiki za mwanzo kwaiyo ili kutoifedheesha familia yake(Binti) na ya yule mwanamume (Mzee) akaamua ampe jamaa yangu.

Nae alikuwa na hamu ya kuoa kweli. kaoa kumbe kaoa mke wa mtu aisee.

Jamaa yangu asaivi anamke wake fresh na familia ya watoto wawili na mambo yanaenda vizuri sana.

Hata sijui yule mwanamke aliishia wapi na mume wa mtu tena mzee mtu mzima sana.
Haya mambo haya....yasikie tu kwa watu......
 
Mimi Kuna mmoja alitaka kunibambikizia....nilikaa miezi kadhaa bila kuyanduana (tulizinguana ) kumbe alishanyanduana huko akapata mimba

Sasa siku tumepatana akawa ananiambia ana hamu Sana me nikamwambia fresh....

Kila nikipiga machine demu anaficha tumbo namuuliza shida Nini anasema hakuna

Aisee nilimlazimisha kuona tumbo, alikuwa na kale kamstari Cha mtu mwenye mimba Tena mimba kubwa TU km ya miezi 4 kwa makadirio....kumbana akaniambia ukweli..nikajiongeza nikampiga chini
 
Aliniambia yupo nyumbani kwao (wilaya nyingne na nilipokuwa Mimi) na simu yake imeharibika atakuwa anatumia ya mdogo wake kumbe kabadirisha namba. Baada ya kama mwaka mm nipo mkoani jamaa mmoja(bwana wa rafiki yake) ananiuliza mtoto wenu anaendeleaje namuuliza mtoto gani ananiambia demu wako SI kajifungua ama unataka kunificha. Dah kumbe dem kaisha olewa mm sijui kuuliza ndugu yake ananiambia et alisema tusikwambie. Nikaona no uK*m* nikafuta na mazoea nao
 
Back
Top Bottom