Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Nimefumania msg za michepuko yake, mwenyewe hajajua kama nimeziona. Ameshatembea na kila mfanyakazi wa ofisini kwao na mbaya zaidi kila siku yeye ndo anawasema wafanyakazi wenzake wa kike kuwa ni malaya na wanatumia miili yao kujitengenezea mazingira mazuri ofisini!!! Kifupi naishi na Muuza K!
🤣🤣🤣
 
Niliwahi kudanganywa na binti mmoja enzi hizo kwamba ni bikra hajawahi kuguswa na dudu kojo
Na akawa anadai hawezi kukubali kunipa unyevu mpaka siku Ya ndoa... Ila kama ujuavyo hakunaga mkate mgumu mbele ya Chai ya maziwa siku ikafika akaingia kwenye 18 nikamvua chupi nikaingiza ikazama yote bila kugusa hata ukuta!
Eti baada ya mechi anajitetea eti aliwahi kuguswa mara moja tu zamani halafu aliyemgusa hakuingiza yote aligusa kwa kichwa tu!!!
Pumbaff kabisa huyu demu Yaani alinidanganya kwa kunionaje mimi? Mbaya zaidi nilipozunguka huko kwenye banda la uani nikakuta walishang'oa komeo kabisa Yaani ukienda unapitiliza ndani
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwaka 2016 alinidanganya ana mimba, nmelea mimba mpaka kazaa siku wah kumuona, kaja kasema mtoto kafa, nakuja kuambiwa kumbe hakufa. Kwa ufupi alinipiga matukio had na mtoto nikamwachia
 

Attachments

  • Screenshot_20161019-003434.png
    Screenshot_20161019-003434.png
    369.5 KB · Views: 12
Nakuibia siri......
Katika watu ambao hutakiwi kuwaamini wakiwa Wana tongoza ni wapare.......
View attachment 3105386
Mm n mpare na nilijiwekea siwezi kuwa na mpare mwenzangu.
Mara paaaap kuna single mother mpare hv Tena pisi kali kabisa akautengeneza moyo wangu mpaka nikampenda sana hadi kupitiliza na kumuamini kwa kila ahadi aliyonipa.
Ila baada ya yeye kupata alichokuwa anakitafuta kwangu na kuona siwezi kumpa tena akaniacha kwa dharau sana.
 
Nimefumania msg za michepuko yake, mwenyewe hajajua kama nimeziona. Ameshatembea na kila mfanyakazi wa ofisini kwao na mbaya zaidi kila siku yeye ndo anawasema wafanyakazi wenzake wa kike kuwa ni malaya na wanatumia miili yao kujitengenezea mazingira mazuri ofisini!!! Kifupi naishi na Muuza K!
Umetapeliwa pole sana mkuu
 
Mwaka 2016 alinidanganya ana mimba, nmelea mimba mpaka kazaa siku wah kumuona, kaja kasema mtoto kafa, nakuja kuambiwa kumbe hakufa. Kwa ufupi alinipiga matukio had na mtoto nikamwachia
Duuuh kitambo sana
 
Back
Top Bottom