Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Huru na nini?Ukweli umuweka mtu huru,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huru na nini?Ukweli umuweka mtu huru,
pale mNilishawahi mdanganya mwanafunzi IFM pale Kigamboni kwenye pantoni nasoma CPA kumbe ni darasa la Saba failure tu na kaingia kingi kweli ishu ilikua kakiomba kaje nikafundishe maana kalinambia kanasoma mambo ya banking balaa likua linaanzia hapo.
Huu ndio uwongo ambao nimewahi tumia na ukanilipa sijawah kutuma gharama yoyote zaidi ya kuombwa muda wa kukafundisha haka kabinti
Wazoefu wa mambo nyinyi mnatumua mbinu gani ya uwongo kuwanasa hawa viumbe
Mimi nimeshawadanganya Wanawake wengi kwamba nipo single Sina mahusiano kbsa😂Nilishawahi mdanganya mwanafunzi IFM pale Kigamboni kwenye pantoni nasoma CPA kumbe ni darasa la Saba failure tu na kaingia kingi kweli ishu ilikua kakiomba kaje nikafundishe maana kalinambia kanasoma mambo ya banking balaa likua linaanzia hapo.
Huu ndio uwongo ambao nimewahi tumia na ukanilipa sijawah kutuma gharama yoyote zaidi ya kuombwa muda wa kukafundisha haka kabinti
Wazoefu wa mambo nyinyi mnatumua mbinu gani ya uwongo kuwanasa hawa viumbe
Yaani kiufupi nashangaa mtu unakuwaje na demu mmoja [emoji3]Uongo mkubwa kbsa ni
pale m
Mimi nimeshawadanganya Wanawake wengi kwamba nipo single Sina mahusiano kbsa[emoji23]
Kumbe nyuma ya pazia jamaa nimejaza foleni ya Wanawake yaani nakula kea zamu tu.Hawa viumbe wa kike ukisema uegemew tu kwenye Ukweli mazee hutoboi.
Nature ya dume ni polgamismYaani kiufupi nashangaa mtu unakuwaje na demu mmoja [emoji3]
Je akifa je
Sik adi uje ukundue ushatumika ipasavyoUnidanganye afu utegemee nikijua utasema samahani[emoji848]aisee....napiga sikuhiyo mpaka ujisikie vibaya[emoji34]
Hakuna Cha Kaz Ata hii Dunia unayoiona sio ya kweli ni ya uongoKaaaazi kweli kweli
🤣🤣🤣,wew ni tapeli kabsa huna tofauti na dude
Wachache wanaupokea huo uwongo kama ukweli,Huu uongo unafanya kazi kwa mabinti ambao age yao ni 25 na kuendelea. Nakumbuka 2007 kuna nyumba moja kuna dada mmoja alipangiwa kama nyumba ndogo ya mzee mmoja,dada alikuwa ana bonge la figa.
Kuna mwamba alingia na gia ya kuoa mwana akatengeneza mazingira hadi ya kumtambulisha kwa wazazi wake, kila jumapili walikuwa wanaenda wote kanisani ,kwenye jumuia wanakuja wote dada akajua hapa kuna ndoa kumbe wapii. Mwana kamzalisha yule dada baada ya hapo akanzisha tabia ya kutolala nyumbani na kupiga mitungi.
Demu akaona isiwe tabu akachukua vitu vyote kwenye nyumba waliyo panga akaamsha navyo, jamaa anarudi anakuta nyumba nyeupe.
Imeenda enda mtaani pale kuna mdada naye kazalishwa kafungua duka ,duka limejaa na alikiwa na wateja wengi. Mwana yule yule akatumia gia ile ile ya ndoa demu akajaa,jamaa kamkoleza demu akawa haoni hasikii,siku akajichanganya jamaa akampiga laki nane na ndio ukawa mwisho wa mahusiano yao.
Hii gia inaapply sana kwa mabinti wenye stress ya ndoa.
Uhuru wa nafsi,aujui kama unakuwa unajipa mzigo?Huru na nini?
Ila dada zangu wanapenda kudanganywa hasa ktk ulimwengu huu ambao pesa imetawala na ndio maana vijana wengi wamekuwa waigizaji kuvaa nguo za gharama kumbe kaazima, kuchongesha funguo za magari na kuazima magari na dada zangu wengi wao wanaingia king, wahuni wakisha Julia vyao wanaamsha.Wachache wanaupokea huo uwongo kama ukweli,
Na uzee wangu huu mtu first time mtu anitangazie ndoa[emoji23],najua kabisa hapa hakuna kitu.
Unasapoti ujinga.Yaani kiufupi nashangaa mtu unakuwaje na demu mmoja [emoji3]
Je akifa je
Baadhi labda,,,,,,lakini mie. Ni bora mtu aniambie ukweli nijue napray vipi.Ila dada zangu wanapenda kudanganywa hasa ktk ulimwengu huu ambao pesa imetawala na ndio maana vijana wengi wamekuwa waigizaji kuvaa nguo za gharama kumbe kaazima, kuchongesha funguo za magari na kuazima magari na dada zangu wengi wao wanaingia king, wahuni wakisha Julia vyao wanaamsha.
Ila kwa age hii ya 25 na kuendelea wengi huwaga na stress na nasikia kuna baadhi yao mpaka mahari wanajilipia wenyewe.
Ndio hivyo ukiwa muongo na mtu wa kamba nyingi mixer muigizaji unawakamata wengi.Baadhi labda,,,,,,lakini mie. Ni bora mtu aniambie ukweli nijue napray vipi.
Uongo si mzuri
Duh hatarNimenunua bia nyingiiii.. zipo juu ya meza.. mkononi nina Xs Max sijaweka kava inawaka balaa.. na ni mjamaa mmoja mtanashati sana.
Nishachukua namba nyingi sana kwa mtindo huu sehemu za starehe. Na najua mipango mingi. Guuuuy. I am smart and intelligent kwenye maongezi yangu. Mwanamke hapindui.