Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Uongo mkubwa kbsa ni
pale m
Mimi nimeshawadanganya Wanawake wengi kwamba nipo single Sina mahusiano kbsa😂

Kumbe nyuma ya pazia jamaa nimejaza foleni ya Wanawake yaani nakula kea zamu tu.Hawa viumbe wa kike ukisema uegemew tu kwenye Ukweli mazee hutoboi.
 
Yaani kiufupi nashangaa mtu unakuwaje na demu mmoja [emoji3]

Je akifa je
 
Unidanganye afu utegemee nikijua utasema samahani🤔aisee....napiga sikuhiyo mpaka ujisikie vibaya😠
 
Wachache wanaupokea huo uwongo kama ukweli,

Na uzee wangu huu mtu first time mtu anitangazie ndoa[emoji23],najua kabisa hapa hakuna kitu.
 
Mwanaume anaejitambua/kujiamini hawezi kuongopa.

Wewe unaeongopa elewa kuwa haujitambui/kujiamini.
 
Wachache wanaupokea huo uwongo kama ukweli,

Na uzee wangu huu mtu first time mtu anitangazie ndoa[emoji23],najua kabisa hapa hakuna kitu.
Ila dada zangu wanapenda kudanganywa hasa ktk ulimwengu huu ambao pesa imetawala na ndio maana vijana wengi wamekuwa waigizaji kuvaa nguo za gharama kumbe kaazima, kuchongesha funguo za magari na kuazima magari na dada zangu wengi wao wanaingia king, wahuni wakisha Julia vyao wanaamsha.

Ila kwa age hii ya 25 na kuendelea wengi huwaga na stress na nasikia kuna baadhi yao mpaka mahari wanajilipia wenyewe na ndio maana wahuni hutumia gia hiyo.
 
Baadhi labda,,,,,,lakini mie. Ni bora mtu aniambie ukweli nijue napray vipi.

Uongo si mzuri
 
Nilikutana nae njiani. Alikua pisi kali haswa kalikua mwaka wa mwisho diploma ya ualimu somewhere. Nikamuomba namba tukawa tunachat. Nikamuuliza jina lake akanitajia, Irene. Akaniuliza la kwangu nikamdanganya. Dini nikamdanganya. Tukawa wapenzi. First date akaja kwangu akapika mazaga tukala kisha nikamla na yeye.

Ikawa kila weekend anakuja getto anafua anapika analiwa maisha yanaenda. Vibe kama lote. Alijua ameshapata wa kufanana nae. Mambo yakaanza kua serious sasa. Akaanza kua ananishirikisha mambo ya kwao huko na familia yake. Mizinga pekee anayonipiga ni wa kumuunga bundle tu. Mwenyewe nikawa najiongeza akija getto kulala weekend namtoa 50k akawa anagoma, eti niibajeti ktk mambo mengine ya msingi kwa maana yeye hana shida ya pesa anachohitaji mda wangu tu na mapenzi.

Ikabidi mwisho wa siku nimuweke chini. Nikampa makavu. Sina future nae, dini yangu hainiruhusu kuoa mwanamke tofauti na sisi. Nikamtajia na jina langu halisi. Hakushtuka zaidi akauliza kitu gani kingine ulinidanganya? Nikamwambia ni hayo tu. Akalia akasepa zake. Baada ya wiki akahamia mazima getto. Amekomaa anataka kubadili dini nimuoe. Mpaka sasa tunapika tunapakua, soon atanibadilisha cheo ntaitwa baba...

Mwenyewe anakiri ningemuambia ukweli mapema tusingekua wote hivi sasa..
 
Duh hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…