Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

'… Nampongeza Mh.Rais kwa ununuzi wa Ndege ambao tumeambiwa zimeanza kuingiza Faida bdani ya muda mfupi…tehe tehe (cheko la kebehi) maana kwny hili lazima tukiri sie tulishindwa…'-Jk

Pia CAG atuambie nani anachomekea figure za deni la Taifa hadi linakuwa kwa kasi wakati Hayati alikuwa anatumia fedha za ndani kujenga miradi yote
Hatari sana
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mimi nilitegemea hili kwakuwa sikuwa na imani hata chembe na jamaa yule, poleni sana wanyonge mlidanganywa Kama watoto
 
hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwa
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Propaganda sasa basi!!!!
 
Mkuu biashara ya ndege sio ya kufanya na pesa za uma , huko duniani biashara hii haifanywi na serikali.
Ajira za urubani zitakuwepo tu, mbona fast jet aliajiri marubani wa kitanzania!

sasa fastjet huezi sitisha huduma zao kwa ajili ya matakwa ya kiserikali, mfano kwenda kuwachukua watanzania waliokwama kona yoyote ya dunia kumbuka wao wanaendesha biashara sio utaifa
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ukiona mtu anaficha taarifa zinazotakiwa kuwafikia wananchi kwa kuminya uhuru wa habari na kujieleza, basi ujue kuna jambo si bure.
 
Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwa

siwezi jua alikua na lengo gan but an airline is very important hasa iki kipindi ambapo covid ni tatizo na watanzania wamezuiwa kusafiri mfano kurudi nyumbani
 
kama hujui importance ya airlines huezi jua kwann nchi zingine znakumbatia ingawa znamake loss pia
Huwezi kukumbatia Hasara ya mabilioni kisa tu na wengine wanapata hiyo hasara ya the same business! ni ujuha!

Hata wale economic consultant s walipuuzwa na kuambiwa si wazalendo kumbe wahuni wachache ukiwa mmojawapo mkivimbiwa na pesa za walalahoi kupitia hiyo mijidege.

pity!
 
Matazamio yake ni ya miaka mingapi? na kwanini tulikuwa tunadanganywa kwamba kulikuwa na faida kubwa?

anaweza kujibu hayo maswali ni yeye mwenyewe but mm i think airlines ni muhimu sana, serikali inaweza kuikumbatia ATCL mpaka ikapata faida
 
Back
Top Bottom