Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Huwezi kukumbatia Hasara ya mabilioni kisa tu na wengine wanapata hiyo hasara ya the same business! ni ujuha!

Hata wale economic consultant s walipuuzwa na kuambiwa si wazalendo kumbe wahuni wachache ukiwa mmojawapo mkivimbiwa na pesa za walalahoi kupitia hiyo mijidege.

pity!

kwan atcl ina mda gan toka ifufuliwe kumake this assumption?
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mmetumana sasahv kwa wingi kwa lengo la kuchafua taswira........
kamwe hamtaweza Mungu yupo
 
Kuna hii jamaa ya kujiita Masanja na likipindi lake la JM full makamera na kusifu tu sijui ana Hali gan huko ,maana kwa wanaoelewa kile kipindi kilikuwa Ni Cha kujikomba tu ili apate teuzi ,.Swali je ataendelea na kile kipindi chake?
 
proper plan ilihitajika before kuanzisha hili shirika.
kuwa na CEO ambao wana uzoefu wa kumanage mshirika mengine.
competitive individuals.

lisiwe drived kisiasa au wana siasa kuwa na access nalo

upo sahihi
 
'… Nampongeza Mh.Rais kwa ununuzi wa Ndege ambao tumeambiwa zimeanza kuingiza Faida bdani ya muda mfupi…tehe tehe (cheko la kebehi) maana kwny hili lazima tukiri sie tulishindwa…'-Jk

Pia CAG atuambie nani anachomekea figure za deni la Taifa hadi linakuwa kwa kasi wakati Hayati alikuwa anatumia fedha za ndani kujenga miradi yote
Kweli hili nalo neno.. atafutwe ahojiwe.
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
KWA HIYO SEMENI MOJA TUSIWE NA NDEGE??? AU TUWENAZO HAMUELEWEKI!!
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mashirika yote makubwa ya ndege yamekula hasara
IMG-20210329-WA0008.jpeg
IMG-20210329-WA0009.jpeg
IMG-20210329-WA0006.jpeg
IMG-20210329-WA0007.jpeg
IMG-20210329-WA0005.jpeg
 
my point is bado ni mapema sana kufanya maamuzi magumu yoyote kwenye hili shirika
Mbona mwendazake alikuwa anafanya maamuzi magumu na hatari on the spot, umeshasahau tukukumbushe?

Hili la manunuzi ya ndege ndilo lilileta controversial, bila bunge kujulishwa??
 
Usisahau hili shirika lilitoa gawaio kwa serikali ikimaanisha ilikuwa ikipata faida
Yan alitengeneza machinery ya propaganda na maigizo na akafanikiwa kweli. Sijui ni uzalendo gani waliokuwa wanahubiri
 
we can call that a weakness ofcourse, uwazi ni muhimu sana
Sasa kwa maigizo hayo mpaka ya kuleta gawio, hapo tunakuwa na mashaka na mambo mengi tuliyoambiwa. Kama mtu anaweza stage mpaka kawio huyo ni mwanaproganda hatari. Swali ni kwanini afanye hivyo? Motive haiwezi kuwa na jema. Hiki ni kipande cha barafu inayoelea. Sifa ya marafu inayoelea baharini eneo linaloonekana uwa ni dogo kuliko lililozama kweye maji.
Muda utasema mengi
 
Back
Top Bottom