Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Hilo gawio kikitoka na ndio lilitia loss hila gawio likiishia mikononi mwa mwendazake.ile ATCL ilikuwa ni project yake binafsi kama ilivyokuwa uwanja wa chato ni wake binafsi japo umejengwa kwa kodi zetu
 
hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
masalia ya mwendazake bado mpo?!
 
kwani lazima uhalalishe uwepo wa ndege kwa kudanganya kwamba tunapata faida tu? kwani ukisema ukweli ili turekebishe na ndege ziwepo zile tu tunazoweza kuziendesha shida iko wapi?

thats a nistake ofcourse, but ni marehem tayar sasa mnapoteza mda kushambuliana na marehem
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Tupe mengi ya huko Lumumba VUTA-NKUVUTE
 
Kwa hasara hii bado unataka serikali endelee kuikumbatia ATCL,

Mkuu haupo serious,kama upo serious basi utakuwa na matatizo ya akili sio bureView attachment 1737744

sasa kama hujuii umuhimu na national carier unataka nkupe info gan? national airline tunapoelekea inatakiwa iwepo by default if the world politics zkiendelea ivi, profit and loss ni makaratasi ambayo hayakujaa, kuna umhimu sana wa national airline
 
Nafikiri zile ripoti zilizosomwa mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan zimeandaliwa na Lissu wakishirikiana na mabeberu. Haiwezekani nchi chini ya chama chetu pendwa na jemadari aliyeifanya rushwa kuwa historia Tanzania hadi kupewa cheti cha utumishi bora na kanisa la Tanzania Assemblies of God yakatokea madudu na wizi wa kutisha kama ule.

Hivi angekuwepo zile ripoti mbili zingesomwa kama zilivyo?
 
Tulinunua ndege bila kuwa na business plan.
Route zilikuwa anapanga mwanasiasa, sasa nataka route ya Mpanda, mara twende Chato Mwanza kwa bei rahisi.
Anachokiongea politician ndicho MD anachokurupuka kufanya.
Sidhani kama hata kulikuwa na mission statement or vision or objectives.

Biashara yoyote kama hiyo yahitaji business plan, na risk mitigation.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
wapingaji bado mpo? mnaendeleaje uko mlipo? mmeshapokea malipo ya february kwenye kazi yenu ya kupinga?
mazuri hatuyapingi bali tuna yapongeza. ila masalia ya mwendazake mlikua ni NDIO MZEE, hv hamkuwaza kuwa jamaa alikua ni binaadam?
 
wapingaji bado mpo? mnaendeleaje uko mlipo? mmeshapokea malipo ya february kwenye kazi yenu ya kupinga?
mazuri hatuyapingi bali tuna yapongeza. ila masalia ya mwendazake mlikua ni NDIO MZEE, hv hamkuwaza kuwa jamaa alikua ni binaadam?
 
Si ajabu ripoti hiyo ikapigwa chini Bungeni na CAG akaonekana kuwa ni mzushi. Unakumbuka ishu ya 1.5t?
Kila zama na kitabu chake, wajaribu tuone, hata supika hilo analijua kwamba zama za kufinyanga bunge zimekwisha.
 
Madudu kwenye Halmashauri huko ni hatari. CAG amesema madiwani kwenye Halmashauri siku hizi hawahoji matumizi ya fedha za serikali.
Sasa mimi najiuliza kama Mkurugenzi ni kada, diwani kada, meya kada nani wa kumhoji mwenzake? Nani wa kumfunga paka kengele?

Bado bunge sasa. ni kutumbua kodi zetu kwa kwenda mbele. Hivi kuna haja ya kuwa na bunge la namna hii linalokula tu kodi zetu bila faida?
 
mazuri hatuyapingi bali tuna yapongeza. ila masalia ya mwendazake mlikua ni NDIO MZEE, hv hamkuwaza kuwa jamaa alikua ni binaadam?

sasa kama mnajua hilo wacheni CAG afanye kazi yake, alikua binadam na binadam ni kukosea sasa sehem alipokosea tunatakiwa kuparekebisha sasa muache kushambulia watu sasa, wote tunajenga nchi
 
sasa kama hujuii umuhimu na national carier unataka nkupe info gan? national airline tunapoelekea inatakiwa iwepo by default if the world politics zkiendelea ivi, profit and loss ni makaratasi ambayo hayakujaa, kuna umhimu sana wa national airline
Umuhimu wake uko wapi wakati tunapata hasara? Kwanini izo pesa tusizipeleke kwenye miradi ambayo italeta faida kwa wananchi wote,

Mkuu ivi wewe una akili kweli?
 
thats a nistake ofcourse, but ni marehem tayar sasa mnapoteza mda kushambuliana na marehem
Hapo nimekuelewa. Kwamba kuna kosa lilifanyika kwa kuwa na mandege mengi kuliko uwezo wa kuyahudumia kwa faida. Tungeanza na chache halafu tukawa tunaongeza kadiri ya faida tuipatayo.
 
Huyu babu mi namchukia sana, yani nikimuona kwenye t.v naona kama nimeona kinyesi, anatakiwa akimaliza muda wake wa Uspeaker, afutiwe kinga ya kushtakiwa aliopewa na marehemu. Halafu anyongwe kwa kuendekeza tumbo lake huku nchi ikiharibiwa.

Hasa kwa ushenzi wa;

1) kujifanya ana msimamo wa kukataa Report Ya CAG aliopita, kisa CAG aligoma kupelekeshwa na Marehemu ili atudanganye ATCL na TCCL zinaendeshwa kwa faida. CAG aliona mbali, akaona bora afukuzwe kazi kuliko kuungana na Marehemu na Speaker kudanganya watanzania. Sasa mungu amewaumbua na atawaumbua zaidi.

2) Kuapisha wabunge hewa bila uchaguzi na kuwaapisha hao Covid 19.
Hivi fedha wanazokula Covid-19 kama wabunge ni zetu au za Ndugai?
 
Ndugu zangu...., Tuliibiwa kweri kweri.........

Mimi ni kiongozi wenu najua mengi..., wapiga deal waliituibia kweri kweri
 
Natamani na vile viroba vya maiti tukivyo ambiwa vime tokea Somalia vika fukuliwe vipimwe DNA. Maana kuna Mnyiramba ali shiriki kwa karubu sana huu unyama.
 
Back
Top Bottom