Matazamio yake ni ya miaka mingapi? na kwanini tulikuwa tunadanganywa kwamba kulikuwa na faida kubwa?hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Hatari sana'β¦ Nampongeza Mh.Rais kwa ununuzi wa Ndege ambao tumeambiwa zimeanza kuingiza Faida bdani ya muda mfupiβ¦tehe tehe (cheko la kebehi) maana kwny hili lazima tukiri sie tulishindwaβ¦'-Jk
Pia CAG atuambie nani anachomekea figure za deni la Taifa hadi linakuwa kwa kasi wakati Hayati alikuwa anatumia fedha za ndani kujenga miradi yote
Alikataa yule mzee kutupandisha madaraja yetu, kwa kisingizio eti cha kununua ndege! Halafu leo mwaka wa sita huu, tunasikia taarifa kama hizi!! Kweli kama Taifa, tulipatwa!!
Ahueni Mwenyezi Mungu katuepusha na mateso.
Usisahau hili shirika lilitoa gawaio kwa serikali ikimaanisha ilikuwa ikipata faidahakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Mimi nilitegemea hili kwakuwa sikuwa na imani hata chembe na jamaa yule, poleni sana wanyonge mlidanganywa Kama watotoMambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Hoja ni kwa nini kipindi cha JIWE tuliambiwa ATCL ilikuwa inapata faida hadi ikatoa gawio?hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwahakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Utetezi duni usiokidhi matokeo ya kitafiti.hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Propaganda sasa basi!!!!Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Utetezi duni usiokidhi matokeo ya kitafiti.
Bado akili umeziacha Lumumba ?
Mkuu biashara ya ndege sio ya kufanya na pesa za uma , huko duniani biashara hii haifanywi na serikali.whether it makes profit or not, ndege lazima ziwepo na wale wanaosomea urubani wapate pia ajira
Mkuu biashara ya ndege sio ya kufanya na pesa za uma , huko duniani biashara hii haifanywi na serikali.
Ajira za urubani zitakuwepo tu, mbona fast jet aliajiri marubani wa kitanzania!
Ukiona mtu anaficha taarifa zinazotakiwa kuwafikia wananchi kwa kuminya uhuru wa habari na kujieleza, basi ujue kuna jambo si bure.Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwa
Hoja ni kwa nini kipindi cha JIWE tuliambiwa ATCL ilikuwa inapata faida hadi ikatoa gawio?
Huwezi kukumbatia Hasara ya mabilioni kisa tu na wengine wanapata hiyo hasara ya the same business! ni ujuha!kama hujui importance ya airlines huezi jua kwann nchi zingine znakumbatia ingawa znamake loss pia
Matazamio yake ni ya miaka mingapi? na kwanini tulikuwa tunadanganywa kwamba kulikuwa na faida kubwa?