Sasa kwa Nini tulidanganywa kwamba inamake profit na gawio juu. Hivi jpm asingekufa jamani hii nchi si ingekuwa kituko Cha Karne. Shida walimpa urais wakati Hana uwezo nao. Mama Samia angekuwa rais halafu yeye akawa makamu wake ili awe under control.
Hahahahaha ebu hapo ulipo jipige kifuani Mara 3 jiambie mie ni hasara kwa taifa,yaani unaanzisha biashara 2 kabl ya kufanya research ya biashara yako?hata kama biashara ni kutake risk bt kuna vitu vya muhimu kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara aisee
Wewe kweli huna akili unafananisha ndege na hospital?aisee we kweli kichwa panzi, gained advantage ya atcl na hospitali za kata ni almost equal, hospital za kata haziingizi faida na wala hazitegemewi kuingiza faida hata mwendo kasi ni loss making project, but tuingoe??? kwa NASA ni profit making organisation? kenya airways je? wewe ni mwanachama wa chadema?
Tumedanganywa mangapi? Bungeni wabunge wa upinzani walipiga kelele kwamba ATCL haipati faida bali ni hasara tu, mbona wabunge wa CCM walikuja juu kwa kelele za TAARIFA na kueleza kwamba shirika linatengeneza faida kama Rais alivyokua akisema, hii ni kusema hawa wabunge wa CCM kuna mengi walikua wanatudanganya kwa lengo la kumkingia kifua Rais na chama chao!!?? Watanzania tuungane tuanze upya hakuna namna. Tumuunge mkono mama.
Wewe kweli huna akili unafananisha ndege na hospital?
Wananchi wangapi wanafaidika na izo ndege?
Hospital inatoa huduma ya afya kwa wananchi wote sana sana nyie mnaojiita wanyonge,
Simba wanamtangazia Mo biashara ndo faida Mo anayopata kwa simba,sasa wewe ulidhan ukianzisha biashara unakua na uhakika lazima ilete profit? we ushawahi fanya biashara yoyote?? unayo mohammed dewji amebwaga bishara ngap mwaka jana ambazo ni loss making for years? simba yenyewe haitengenezi faidam ndo biashara zinavoenda, youtube yenyewe mpaka leo ni loss making, sasa unadhan ntakushangaa?
Kwa nchi zenye akili shirika la ndege linaendwshwa na private companies halafu serikali inachukua Kodi tu lakini siyo serikali kuji involve jumla. Kumbuka serikali ikifanya biashara hakuna efficiency zaidi ya hasara. Shida tulimpa mshamba nchi.hio ni hoja tayar lakini pia waliolilia hizi ndege ni wapinzani wenyewe, walipiga kelele sana bungeni shirika likiwa na ndege moja sasa ndege zmekua za kutosha loss imetkea kelele nyingi
Bro nahisi ndo unaamka nw kutoka usingizini aisee ulilala miaka 6 nyuma,wakati magu analeta hii mindege yake watu walitoa ushauri sana ila walipuuzwa wakaonekana sio wazalendo,so kaa kimya usianze kuleta utetezi wako wa ajabu hapa,kama mlijua inatakiwa iunganishe sector ya utalii kwann hamkulitambua hilo mapema na kuanzisha internatiol route duniani huko ili zilete watalii moja kwa moja mnakazania kuanzisha route za kwenda mpanda?vp UDART ripoti yake ya mapato inasemaje? faida ama hasara? sasa ukishalijua hilo ndio tunatakiwa kutreat ATCL same minded, first tanzania ndio tourism hub ya afrika nzima, watu wakae chini ideas zije za nguvu tourism iunganishe na ATCL moja kwa moja there must be a way itamake profit, afterall biashara nyingi ni loss making duniani isiwe kama kitu kipya unless hujawahi kufanya biashara, hata jamii forum ni loss making hakuna profit ya moja moja inaoingia as cash but indiretly its mmaking money! we ukishakunywaga huo ulezi basi maisha yameishia apo
Simba wanamtangazia Mo biashara ndo faida Mo anayopata kwa simba,
Ndugu wewe huna akili na ujawai kufanya biashara yoyote so ujui unachokiongea
FYI mimi uwezo wa kupanda ndege ninaokwan unadhan wananchi wote ni maskini? kama wewe uwezo wako bado cheza chini panda unachoweza kuafford.
Waliikimbiza fast jet nchini wakiogopa ushindani matokeo yake wameshindwa kufanya biashara,kipindi cha fast jet nauli ilikuwa afadhali kuliko wao afu Leo hii wanatetea ujingaKwa nchi zenye akili shirika la ndege linaendwshwa na private companies halafu serikali inachukua Kodi tu lakini siyo serikali kuji involve jumla. Kumbuka serikali ikifanya biashara hakuna efficiency zaidi ya hasara. Shida tulimpa mshamba nchi.
Hapa naogea na wewe nipo mbali sana wala sipo Tz,si unaona jinsi ulivo ulezi nmekuuliza mo ama nkuuliza simba? swali nmekuuliza je unajua simba ni loss making institution, kadhalika na yanga ivo ivo?? je sasa kama znapata hasara izi club zifungwe???
- so my point nkasema lazima inovative ideas zije kunusuru ATCL lakini kwa saaahv lazima ziendelee kuwepo, same kwa simba, same to jamii forum, youtube, zote izi ni loss making but they are needed.
- we comment ya kwanza tayar nshajua biashara hujawahi fanya na hujawahi toka nje ya nchi kama umeenda sana basi east africa mwisho kwa sababu loss making ni kitu cha kawaida na losses haimaanishi biashara ifungwe, kwa kifupi we cheza chini tuliza meno watu wengine wapo wanaotoa michango mziuri
Picha ya kwenye dp yako inasadifu uelewa wakosi unaona jinsi ulivo ulezi nmekuuliza mo ama nkuuliza simba? swali nmekuuliza je unajua simba ni loss making institution, kadhalika na yanga ivo ivo?? je sasa kama znapata hasara izi club zifungwe???
- so my point nkasema lazima inovative ideas zije kunusuru ATCL lakini kwa saaahv lazima ziendelee kuwepo, same kwa simba, same to jamii forum, youtube, zote izi ni loss making but they are needed.
- we comment ya kwanza tayar nshajua biashara hujawahi fanya na hujawahi toka nje ya nchi kama umeenda sana basi east africa mwisho kwa sababu loss making ni kitu cha kawaida na losses haimaanishi biashara ifungwe, kwa kifupi we cheza chini tuliza meno watu wengine wapo wanaotoa michango mziuri
Kweli, kilichobaki sasa kwa waTz ni kuomba Mungu awatandike wote wenye nia ovu na Taifa hiliYeyote mwenye nio ovu atachapwa na mkono wa Mungu....
Tz ya sasa sio Ile ya zamani
Bro nahisi ndo unaamka nw kutoka usingizini aisee ulilala miaka 6 nyuma,wakati magu analeta hii mindege yake watu walitoa ushauri sana ila walipuuzwa wakaonekana sio wazalendo,so kaa kimya usianze kuleta utetezi wako wa ajabu hapa,kama mlijua inatakiwa iunganishe sector ya utalii kwann hamkulitambua hilo mapema na kuanzisha internatiol route duniani huko ili zilete watalii moja kwa moja mnakazania kuanzisha route za kwenda mpanda?
Picha ya kwenye dp yako inasadifu uelewa wako
Hapa naogea na wewe nipo mbali sana wala sipo Tz,
We endelea kukaa kwa shemeji mpaka wajomba zako waanze kukuita aunty
Picha ya kwenye dp yako inasadifu uelewa wako
Kwa hiyo tusishabikie sana haya mambo ya wanasiasa wanaokua na keki mdomoni, kwa sababu wanakua wanajitahidi kuongea uongo ili keki isiwatoke, halafu kina mimi na wewe tunaunga tela kwenye jambo lao.hio ni mistake, hata apa unaweza shangaa mwakani ukaambiwa inatengeneza faida, tuchukue lipi tuache lipi
Asante ndugu yangu acha nikatafute ugalihaiwezekani mtu amekaa kwenye capitalist nation na anashangaa loss au anashangaa biashara ya hasara kwa miaka 10! so we katafute ugali wako magomeni usije kufa njaa