Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Ligi kma hizi wakristo na waislamu wana ungana ila ukiwaacha wenyewe wanatoana macho.
 
Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja

Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Kuna vitu viwili nikusaidie.

Wewe uko muathirima wa vita inayoendelea kwa sasa duniani. Vita vya fikra. Uko brainwashed.

Kila mmoja yuko brainwashed lkn je tu nani aliyechongwa na akatengezwa usahihi.


Computer zimetengezwa marekani, Lkn ili uweze tuzitumia na kutengeneza wanatoa kitu kinachoitwa manual.

Hivyo hivyo kwa Mwenyezi Mungu. Alipomiumba mwanadamu kampa Manual. Ambayo ndio Quran.

Bahati mbaya kuwa wapinga Quran. Na tishio zaidi wanafamika kama Orientalism.

Wewe ni miongoni mwa waliochukua mafunzo yao. Hivyo huwezi kuelewa upande wa pili wa Quran hadi pale kwanza uuache moyo wako huru ili uweze kuijua hii manual kwa usahihi.

Quran ni kama dawa yyt ile ukiweza isivyo sahihi itakudhuru.

Nimalizie kwa kukupa baadhi ya maana halisi ya maneno ambayo kwasasa yamebadilishwa maana.

Concept ya ibada au kuabudu.

Kwa asili mwanadamu kaumbwa kuwa submitted na kitu. Hivyo kama hutoweza kumsujudia muamba wako utasujudia other creatures or non creatures. Mf. Bangi, Pombe nk

Kitu chochote unakifanya kwa mazoezi ndio Mungu wako. Bila shaka hata wewe pamoja na kukataa lkn kuna kitu unachokiangukia. Huyo ndio Mungu wako.

Kwani kuna tofauti kati ya Mungu na Mwenyezi Mungu. Haya ni maneno mawili yanayopingana.

Mungu ana uwingi kwa maana Miungu.

Mwenyezimungu hana uwingi.

Wakati Mungu wako wengi waweza kuwa chchte, akowemo huyo shetani,
Sanamu, ng'ombe, miti, uchi nk.

MwenyeziMungu ni mmoja na wa pekee. Ambae ni Eloi au Allah kwa kiarabu.

Kwa mfano waTEC wanapoimba Mungu ibariki wanamaanisha Yesu ndie Mungu wao. Tofauti na mabaniani wakiamuni Ng'ombe.

Kama utakuwa na swali lolote kuhusu Mwenyezi Mungu niukuze.
 
That's according to your Standing point of view ila kwa mimi nitakuambia kwa mujibu wa imani (Hakika ya Yatarajiwayo mbeleni) naamini kwamba kuna source ya Vyote ambavyo ndio huyo Mungu (Supernatural). Hoja kuhusu kwamba nathibitishaje uwepo wake (kumuona, kumshika ama kumhisi) hapo ndio unarefer hapo juu (hakika ya visivyoonekana na pia yatarajiwayo). Binafsi siamini kwamba ili kuprove uwepo wa kitu ni lazima nikione (kwakuwa naamini macho yangu siyo perfect na yanaweza kunidanganya pia) kumbuka kuna Optical illusion, Lazima nikishike (vingapi hatuwezi kuvishika na bado vipo mfano mzuri ndio hizo gases mbali mbali?, Lazima nikifeel (nop, what abt mind??? coz you can't see, touch or rather feel it but it's there!)

So Hoja hizi zote bado ni dhaifu tu kuna limitations nyingi zinatufanya tusi rely kwenye hizi hoja kuprove uwepo wa vitu ktk huu Ulimwengu!
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Kitu kikiwepo hakuna haja ya imani kujua kwamba kitu hicho kipo.

Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, au kushikika.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile Haonekani, Hasikiki, Hashikiki ,Haisiki Zaidi Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana ya kufikirika. Illusion.
 
Ebu angalia idadi yenu unaweza kucheka kwa kweli ....Kaangalie dini gani inakuwa kwa kasi maana unaweka kuwa unabisha kumbe ration ni 1:100000
😂😂😂😂Inakuwa kwa kasi kwa kuzalisha watoto wa miaka 9 na kuoa wake wanne...haikuwi coz Ina ushawishi mkubwa..
 
Imagine umeokota TV afu watu wanakuja na manual tofauti wote wanasema ni manual ya TV hio uliyookota..kila mmoja na sheria zake za kutumia hio tv na wote wanasema manual zinatoka kwa aliyetengeneza TV. We utamwamini nani..so far umenionyesha utaamini ambae baba Ako anamwamini kuwa ndo ana manual ya kweli ya tv uliyoiokota
 
😴Mshaanza na Mambo yenu ya hole in the heart cjui unafill na bangi pombe...wat if Kuna watu hawaamini Mungu na hawatumii bangi pombe Wala ngono...utasema wanasujudia Nini upepo au..maana hamkosi la kusema
 
Unajikuta unajua sana au sio? Dharau ata shetani amekuzidi.
 
Lakini oxygen si umeambiwa zipo mahospitalini
 
Mungu anamajukumu mengi.

Mengine hadi yanamzidi uwezo.

Japo alipaswa kuzuia tetemeko lisitokee Morroco, naungana nawewe kumshauri Mungu apambane kumuongoza huyu anayemkufuru
Tetemeko ni sehemu ya WARNING SIGNS na ALAMA za uwepo wake....

Likitokea mwanadamu huhisi powerless na hutambua uwepo wa SUPREME POWER [SLMIGHTY GOD].....

Mwenyewezimu zna majesho mbinguni ns ardhini....

Tunatakiwa tutubie na kumrejea YEYE
 
Mkuu umeona mbaali sana na una akili kubwa mno,ubarikiwe na hii ni bonge la scam kubwa kuliko zote!!
 
😂😂😂😂Inakuwa kwa kasi kwa kuzalisha watoto wa miaka 9 na kuoa wake wanne...haikuwi coz Ina ushawishi mkubwa..
Sawa tunazalisha 😂😂unaumia nn kila mtu ashinde mechi zake...Sijaona hoja zako maana unapambana kiuchumi ila bado uko chini ,unatamani kuwa kama bill gates ila ndio hiyo Mungu hajakupangia.

Hata takwimu umeleta mwenyewe na hujui kosoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…