Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana muonekano na umbo la namna gani?Ni muumbaji wa ulimwengu na mmiliki wa viumbe wote vilivyopo duniani..
Kuna vitu viwili nikusaidie.Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
That's according to your Standing point of view ila kwa mimi nitakuambia kwa mujibu wa imani (Hakika ya Yatarajiwayo mbeleni) naamini kwamba kuna source ya Vyote ambavyo ndio huyo Mungu (Supernatural). Hoja kuhusu kwamba nathibitishaje uwepo wake (kumuona, kumshika ama kumhisi) hapo ndio unarefer hapo juu (hakika ya visivyoonekana na pia yatarajiwayo). Binafsi siamini kwamba ili kuprove uwepo wa kitu ni lazima nikione (kwakuwa naamini macho yangu siyo perfect na yanaweza kunidanganya pia) kumbuka kuna Optical illusion, Lazima nikishike (vingapi hatuwezi kuvishika na bado vipo mfano mzuri ndio hizo gases mbali mbali?, Lazima nikifeel (nop, what abt mind??? coz you can't see, touch or rather feel it but it's there!)Kwanza hakuna source of the universe, universe ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.
Ukianza kuhoji source of the universe kwamba lazima iwepo na kila kitu kilichopo lazima kiwe na source, Hata hiyo source ya "Source the universe" lazima iwe na source yake.
Hapa sasa kutakuwa na endless sources (Vyanzo visivyo na mwisho) ili kanuni hiyo ya kila kitu lazima kiwe na source iweze ku make sense.
Kuuliza source ya Universe ni ipi,
Ni sawa na kuuliza,
What is the North of the north pole?
Einstein relativity inasema kwamba "The rate at which time passes Depends on your frame of reference"
Kuuliza source ya Universe ni ipi Unauliza kutoka kwa frame ya reference ipi?
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.That's according to your Standing point of view ila kwa mimi nitakuambia kwa mujibu wa imani (Hakika ya Yatarajiwayo mbeleni) naamini kwamba kuna source ya Vyote ambavyo ndio huyo Mungu (Supernatural). Hoja kuhusu kwamba nathibitishaje uwepo wake (kumuona, kumshika ama kumhisi) hapo ndio unarefer hapo juu (hakika ya visivyoonekana na pia yatarajiwayo). Binafsi siamini kwamba ili kuprove uwepo wa kitu ni lazima nikione (kwakuwa naamini macho yangu siyo perfect na yanaweza kunidanganya pia) kumbuka kuna Optical illusion, Lazima nikishike (vingapi hatuwezi kuvishika na bado vipo mfano mzuri ndio hizo gases mbali mbali?, Lazima nikifeel (nop, what abt mind??? coz you can't see, touch or rather feel it but it's there!)
So Hoja hizi zote bado ni dhaifu tu kuna limitations nyingi zinatufanya tusi rely kwenye hizi hoja kuprove uwepo wa vitu ktk huu Ulimwengu!
😂😂😂😂Inakuwa kwa kasi kwa kuzalisha watoto wa miaka 9 na kuoa wake wanne...haikuwi coz Ina ushawishi mkubwa..Ebu angalia idadi yenu unaweza kucheka kwa kweli ....Kaangalie dini gani inakuwa kwa kasi maana unaweka kuwa unabisha kumbe ration ni 1:100000
Aaah hizi mada za kisiasa hata sielewi mimi ila it's off the topicUnafanyaje tutabasamu na wezi
Imagine umeokota TV afu watu wanakuja na manual tofauti wote wanasema ni manual ya TV hio uliyookota..kila mmoja na sheria zake za kutumia hio tv na wote wanasema manual zinatoka kwa aliyetengeneza TV. We utamwamini nani..so far umenionyesha utaamini ambae baba Ako anamwamini kuwa ndo ana manual ya kweli ya tv uliyoiokotaKuna vitu viwili nikusaidie.
Wewe uko muathirima wa vita inayoendelea kwa sasa duniani. Vita vya fikra. Uko brainwashed.
Kila mmoja yuko brainwashed lkn je tu nani aliyechongwa na akatengezwa usahihi.
Computer zimetengezwa marekani, Lkn ili uweze tuzitumia na kutengeneza wanatoa kitu kinachoitwa manual.
Hivyo hivyo kwa Mwenyezi Mungu. Alipomiumba mwanadamu kampa Manual. Ambayo ndio Quran.
Bahati mbaya kuwa wapinga Quran. Na tishio zaidi wanafamika kama Orientalism.
Wewe ni miongoni mwa waliochukua mafunzo yao. Hivyo huwezi kuelewa upande wa pili wa Quran hadi pale kwanza uuache moyo wako huru ili uweze kuijua hii manual kwa usahihi.
Quran ni kama dawa yyt ile ukiweza isivyo sahihi itakudhuru.
Nimalizie kwa kukupa baadhi ya maana halisi ya maneno ambayo kwasasa yamebadilishwa maana.
Concept ya ibada au kuabudu.
Kwa asili mwanadamu kaumbwa kuwa submitted na kitu. Hivyo kama hutoweza kumsujudia muamba wako utasujudia other creatures or non creatures. Mf. Bangi, Pombe nk
Kitu chochote unakifanya kwa mazoezi ndio Mungu wako. Bila shaka hata wewe pamoja na kukataa lkn kuna kitu unachokiangukia. Huyo ndio Mungu wako.
Kwani kuna tofauti kati ya Mungu na Mwenyezi Mungu. Haya ni maneno mawili yanayopingana.
Mungu ana uwingi kwa maana Miungu.
Mwenyezimungu hana uwingi.
Wakati Mungu wako wengi waweza kuwa chchte, akowemo huyo shetani,
Sanamu, ng'ombe, miti, uchi nk.
MwenyeziMungu ni mmoja na wa pekee. Ambae ni Eloi au Allah kwa kiarabu.
Kwa mfano waTEC wanapoimba Mungu ibariki wanamaanisha Yesu ndie Mungu wao. Tofauti na mabaniani wakiamuni Ng'ombe.
Kama utakuwa na swali lolote kuhusu Mwenyezi Mungu niukuze.
😴Mshaanza na Mambo yenu ya hole in the heart cjui unafill na bangi pombe...wat if Kuna watu hawaamini Mungu na hawatumii bangi pombe Wala ngono...utasema wanasujudia Nini upepo au..maana hamkosi la kusemaKuna vitu viwili nikusaidie.
Wewe uko muathirima wa vita inayoendelea kwa sasa duniani. Vita vya fikra. Uko brainwashed.
Kila mmoja yuko brainwashed lkn je tu nani aliyechongwa na akatengezwa usahihi.
Computer zimetengezwa marekani, Lkn ili uweze tuzitumia na kutengeneza wanatoa kitu kinachoitwa manual.
Hivyo hivyo kwa Mwenyezi Mungu. Alipomiumba mwanadamu kampa Manual. Ambayo ndio Quran.
Bahati mbaya kuwa wapinga Quran. Na tishio zaidi wanafamika kama Orientalism.
Wewe ni miongoni mwa waliochukua mafunzo yao. Hivyo huwezi kuelewa upande wa pili wa Quran hadi pale kwanza uuache moyo wako huru ili uweze kuijua hii manual kwa usahihi.
Quran ni kama dawa yyt ile ukiweza isivyo sahihi itakudhuru.
Nimalizie kwa kukupa baadhi ya maana halisi ya maneno ambayo kwasasa yamebadilishwa maana.
Concept ya ibada au kuabudu.
Kwa asili mwanadamu kaumbwa kuwa submitted na kitu. Hivyo kama hutoweza kumsujudia muamba wako utasujudia other creatures or non creatures. Mf. Bangi, Pombe nk
Kitu chochote unakifanya kwa mazoezi ndio Mungu wako. Bila shaka hata wewe pamoja na kukataa lkn kuna kitu unachokiangukia. Huyo ndio Mungu wako.
Kwani kuna tofauti kati ya Mungu na Mwenyezi Mungu. Haya ni maneno mawili yanayopingana.
Mungu ana uwingi kwa maana Miungu.
Mwenyezimungu hana uwingi.
Wakati Mungu wako wengi waweza kuwa chchte, akowemo huyo shetani,
Sanamu, ng'ombe, miti, uchi nk.
MwenyeziMungu ni mmoja na wa pekee. Ambae ni Eloi au Allah kwa kiarabu.
Kwa mfano waTEC wanapoimba Mungu ibariki wanamaanisha Yesu ndie Mungu wao. Tofauti na mabaniani wakiamuni Ng'ombe.
Kama utakuwa na swali lolote kuhusu Mwenyezi Mungu niukuze.
Unajikuta unajua sana au sio? Dharau ata shetani amekuzidi.Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Lakini oxygen si umeambiwa zipo mahospitaliniThat's according to your Standing point of view ila kwa mimi nitakuambia kwa mujibu wa imani (Hakika ya Yatarajiwayo mbeleni) naamini kwamba kuna source ya Vyote ambavyo ndio huyo Mungu (Supernatural). Hoja kuhusu kwamba nathibitishaje uwepo wake (kumuona, kumshika ama kumhisi) hapo ndio unarefer hapo juu (hakika ya visivyoonekana na pia yatarajiwayo). Binafsi siamini kwamba ili kuprove uwepo wa kitu ni lazima nikione (kwakuwa naamini macho yangu siyo perfect na yanaweza kunidanganya pia) kumbuka kuna Optical illusion, Lazima nikishike (vingapi hatuwezi kuvishika na bado vipo mfano mzuri ndio hizo gases mbali mbali?, Lazima nikifeel (nop, what abt mind??? coz you can't see, touch or rather feel it but it's there!)
So Hoja hizi zote bado ni dhaifu tu kuna limitations nyingi zinatufanya tusi rely kwenye hizi hoja kuprove uwepo wa vitu ktk huu Ulimwengu!
Huna hojaUnajikuta unajua sana au sio? Dharau ata shetani amekuzidi.
Unataka awe na umbo?Ana muonekano na umbo la namna gani?
Tetemeko ni sehemu ya WARNING SIGNS na ALAMA za uwepo wake....Mungu anamajukumu mengi.
Mengine hadi yanamzidi uwezo.
Japo alipaswa kuzuia tetemeko lisitokee Morroco, naungana nawewe kumshauri Mungu apambane kumuongoza huyu anayemkufuru
Mkuu umeona mbaali sana na una akili kubwa mno,ubarikiwe na hii ni bonge la scam kubwa kuliko zote!!Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Umejiumba?Huna hoja
Fanya nlichokwambiaUnapenda ubishi?
Sawa tunazalisha 😂😂unaumia nn kila mtu ashinde mechi zake...Sijaona hoja zako maana unapambana kiuchumi ila bado uko chini ,unatamani kuwa kama bill gates ila ndio hiyo Mungu hajakupangia.😂😂😂😂Inakuwa kwa kasi kwa kuzalisha watoto wa miaka 9 na kuoa wake wanne...haikuwi coz Ina ushawishi mkubwa..
Upo kwenye open forum kwahyo utajibiwa na yeyote panapobidi, hili nalo hulitambui?Angalia hilo swali nimemuuliza nani ?
Kwahyo umekubali vitabu hivyo vya Mungu ni mauongo tu yaliandikwa na watu kupiga upatu!?Tunazungumzia uwepo wa Mungu kiakili sio vitabu vilivyoandikwa na wanadamu.