Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bibleMkuu,
Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.
Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.
Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible
Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
Kwahiyo msingida point yako niipi au baada ya kuandika hivi nini kifanyike. Kumbuka huu ubaya wote uliopo duniani ungekuwa mara dufu bila dini kwahiyo unataka kufumbia watu macho ili uhalifu oungezeke sio???
Mmefundishwa kua waoga mpaka mmekua wajingaAcheni kumkufuru Mungu jamani
Unaifaham milango mitano ya faham tuanzie hapo kwanza?Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible
Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
Wanasemaga Mungu yupo kiroho kwa akili za kawaida huwezi kumjua..[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo lao hawajibu hoja za mtoa mada[emoji4]Wafia dini wataleta varangati haswa katika huu uzi.
Wewe binafsi ulishawahi kutaka kumjua Mungu?Hakuna ujasiri wowote mkuu
Dhana nzima ya Mungu does not make sense at all
Zamani nikisikia kuna watu wataadhibiwa, nilijiuliza ni kina nani.Bibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe
Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
Wewe binafsi ulishawahi kutaka kumjua Mungu?
Umeandika kimasikhara ila una hoja.Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Kumbe na wewe ni atheist?Injili ya yesu Ni utapeli mkubwa Sana
Iyo akili unayoitumia sasa itakupeleka pabaya wew endelea kutokuamini uwepo wa aliyekuumba,Hivi mkuu unajua kweli hata hiyo Bibilia kaiandika nani?
Ukianza kutoa mistari hapa utaanza kunukuu barua ya Paulo kwa Wagalatia na utahalalisha ni “maneno ya Mungu” wakati ni barua ya Paulo
Imani bila kutumia akili nayo ni ujinga kama ujinga mwingine
Hizo ni akili za kitoto tu utakuja Mungu wakati hata serikali yako ina kushinda iwe Mungu umjue kwa akili za kipumbavu na kitoto hizo acha kusumbua watu bahqKwanza Thibitisha kwamba Mungu yupo.
Kisha ndio ueleze sababu za
kuto kufuriwa?
Mungu hayupo.
Sidhani kama kuna sehemu niliandika..."eti utakufuru dini"..!Mbona mimi sijakataa wala sijaeleza kuuchukia huo uuitao "upofu"?Cha ajabu haujaeleza ambacho sijui ni k
Watu kama nyie nawapenda. Sana sema, tu nafasi nakosa tu watu kama nyinyi niwepesi sana kuwajibu mkuu sioni, hoja hapo ya kujibu ni uchafu tuBibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe
Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
Hizo ni akili za kitoto tu utakuja Mungu wakati hata serikali yako ina kushinda iwe Mungu umjue kwa akili za kipumbavu na kitoto hizo acha kusumbua watu bahq