Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mkuu,

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.

Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible

Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
 
Mpumbavu usema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU, SI maneno yangu ni bible

Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.

Bibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe


Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
 
Kwahiyo msingida point yako niipi au baada ya kuandika hivi nini kifanyike. Kumbuka huu ubaya wote uliopo duniani ungekuwa mara dufu bila dini kwahiyo unataka kufumbia watu macho ili uhalifu oungezeke sio???

Kama dhumuni la Dini ilibuniwa ili kutisha watu wapunguze ubaya hapo tutakubaliana

Point yangu ni kwamba dhana Mungu muweza wa yote haina mantiki kabisa kwa akili za kawaida kabisa vinginevyo huyo Mungu ndio atakua katili zaidi ya hata sisi binaadamu

Hebu nenda Muhimbili hospitali ya watoto wadogo vichanga kabisa wenye saratani uone jinsi wanavyoteseka na saratani na 65% watakufa, watakaopona zaidi ya 50% hawataishi zaidi ya miaka 10 watakua wamekufa
Watakao pona kabisa watabaki na side effects zitakazo athiri mfumo wao wa maisha kabisa
What kind of God that allow such kind of things to happens to the Kids?

Ukiuliza unaambiwa kazi ya Shetani ambaye alikua malaika wa Mungu akakataa kumtii akamtupa duniani aje kutesa watu wake watoto wachanga wasio na hatia
Huyu Mungu wa ainaga jamani
Hivi inakuingia akilini kweli?
Kwanini Mungu asimalizane na huyu malaika wake muasi aache kutu hadaa?
 
Wanasemaga Mungu yupo kiroho kwa akili za kawaida huwezi kumjua..[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo “kiroho” si ingewekwa wazi na rahisi kwa watu wote kumjua huyu Mungu?

Hapo “kirohoni” ni kichaka kingine cha kumfichia Mungu

Yaani uki assume Mungu yupo halafu uanze kutafakari ukuu wake na yanayojiri hata wanao amini katika Mungu wenyewe wanaona kweli hai make sense
Ndio hapo sasa wanakuja na kichaka kingine eti kirohoni

Hiyo kirohoni yenyewe concept yake ni kama ya Mungu tu..... HAIPO
 
Bibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe


Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
Zamani nikisikia kuna watu wataadhibiwa, nilijiuliza ni kina nani.
Kumbe wapo wengi
 
Wewe binafsi ulishawahi kutaka kumjua Mungu?

Nimezaliwa na kulelewa kidini
Niliamini kila kitu kuhusu Mungu toka nikiwa mdogo

Lakini kadiri nilivyokua nazidi kukua na akili kuzidi kupata ufahamu zaidi dhana nzima ya Mungu ikaanza kuwa inatia mashaka..... yaani maswali mengi majibu blah blah
Ikafika mahali dhana nzima ya Mungu ikakosa kabisa mantiki akilini mwangu


Nikaona nijishughulishe kumjua zaidi huyu Mungu nikiwa na AKILI ZANGU TIMAMU na sio kutishwa na viongozi wangu wa dini ambao nilipokua nawadadisi waliishia kunitisha NAKUFURU, mara shetani kaniingia, mara nimuombe sana Mungu, mara sijui nizame kiroho nk nk

Bandiko langu ni sehemu tu ya niliobaini kuhusu dhana ya Mungu
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kuua watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Umeandika kimasikhara ila una hoja.
 
Hivi mkuu unajua kweli hata hiyo Bibilia kaiandika nani?

Ukianza kutoa mistari hapa utaanza kunukuu barua ya Paulo kwa Wagalatia na utahalalisha ni “maneno ya Mungu” wakati ni barua ya Paulo

Imani bila kutumia akili nayo ni ujinga kama ujinga mwingine
Iyo akili unayoitumia sasa itakupeleka pabaya wew endelea kutokuamini uwepo wa aliyekuumba,
 
Sidhani kama kuna sehemu niliandika..."eti utakufuru dini"..!Mbona mimi sijakataa wala sijaeleza kuuchukia huo uuitao "upofu"?Cha ajabu haujaeleza ambacho sijui ni k

Bibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe


Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
Watu kama nyie nawapenda. Sana sema, tu nafasi nakosa tu watu kama nyinyi niwepesi sana kuwajibu mkuu sioni, hoja hapo ya kujibu ni uchafu tu
 
Hizo ni akili za kitoto tu utakuja Mungu wakati hata serikali yako ina kushinda iwe Mungu umjue kwa akili za kipumbavu na kitoto hizo acha kusumbua watu bahq

Mungu na serikali wapi na wapi?

Unahitajika kuwa na akili gani kumjua Mungu mkuu?
Kwani Mungu kaumba na kuweka limitation za akili za kumjua?
 
Back
Top Bottom